Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
- #21
Kumbe wakongwe mpo wengi.
2001 ni juzi tu hapo mkuu wala sio mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wakongwe mpo wengi.
Yah nilikuwa naangalia za ulaya na bro wangu.Bro wangu ndo alifanya nipende mpira wa ulayaSema tu kua wala mpira ulikua ufuatilii, au unataka kusema kipindi Mdogo ulikua unafuatilia wa ulaya au sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Me huo mwaka nilikuwa shule ya msingi mpira wa bongo nilikuwa Sina habari nao.2001 ni juzi tu hapo mkuu wala sio mbali
Huwa tunashangaaga jinsi mnavyobishanaga na sisi, hahahahahahaha!Kumbe wewe ni mkongwe kipindi hicho me nilikuwa nasoma shule ya msingi Wala mpira bongo zifatilii
2001 mm nilikuwa na mtoto wangu wa tatu ndy ana mwaka mmoja hongera mkuu kunirudisha nyuma2001 ni juzi tu hapo mkuu wala sio mbali
Mahadhi hakulinda kipaji chake alinenepa sana akapoteza shepu ya uchezaji mpiraWazir mahadhi mandieta! Fundi wa mpira aliyemalizwa na majeruhi! Alibarikiwa sana huyu mtu! Misumari ya kina credo mwaipopo ikamstaafisha kabla ya muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haimaanishi kuwa mkongwe ndo kujua kila kitu.Jambo zuri ambalo wakongwe mmefaidi kipindi chetu mmeshuudia live wachezaji wazuri wa kibongo sisi tumeishia kusimuliwa wachezaji Kama Mohamed Hussein "Macho" ,Lunyamila, Mohamed kizota n.k ila sisi tumekutana na kizazi ambacho viwango vyao vinakuzwa na magazeti.Huwa tunashangaaga jinsi mnavyobishanaga na sisi, hahahahahahaha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh2001 mm nilikuwa na mtoto wangu wa tatu ndy ana mwaka mmoja hongera mkuu kunirudisha nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.
Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.
Kikosi cha Stars
PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN
Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
2001 Stars haikuwa bingwa.Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.
Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.
Kikosi cha Stars
PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN
Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
2001 Stars haikuwa bingwa.
Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.
Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002
2001 mashindanobingwa alikua nani ? na mashindano yalifanyika wapi
2001 Stars haikuwa bingwa.
Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.
Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002
2001 mashindano
Host:Rwanda
Final Ethiopia akampiga Kenya 2-1
2002 mashindano
Host Tanzania.
Final. Kenya kampiga Tanzania 3-2
Bingwa Kenya
Nimechanganya Na CECAFA. samahani aisee.Mkuu hivi unajua huu UZI unahusu mashindano gani??
Daah kwa vipaji vya Nteze,Macho,salva,Modest nasikitika mpira wao kuishia Tanganyika...Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.
Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.
Kikosi cha Stars
PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN
Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
Naokumbuka Sana siku hiyo tumepanga foleni kuanzia saa 4 asubuhi ccm kirumba