Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

Huwa tunashangaaga jinsi mnavyobishanaga na sisi, hahahahahahaha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haimaanishi kuwa mkongwe ndo kujua kila kitu.Jambo zuri ambalo wakongwe mmefaidi kipindi chetu mmeshuudia live wachezaji wazuri wa kibongo sisi tumeishia kusimuliwa wachezaji Kama Mohamed Hussein "Macho" ,Lunyamila, Mohamed kizota n.k ila sisi tumekutana na kizazi ambacho viwango vyao vinakuzwa na magazeti.
 
Malizia na neno super coach
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
2001 Stars haikuwa bingwa.

Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.

Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002
 
2001 Stars haikuwa bingwa.

Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.

Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002

bingwa alikua nani ? na mashindano yalifanyika wapi
 
bingwa alikua nani ? na mashindano yalifanyika wapi
2001 mashindano
Host:Rwanda

Final Ethiopia akampiga Kenya 2-1

2002 mashindano

Host Tanzania.
Final. Kenya kampiga Tanzania 3-2
Bingwa Kenya
 
2001 Stars haikuwa bingwa.

Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.

Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002

mashindano yalijumuisha timu 4. na pia mashindano yalifayika mikoa miwili Arusha na Mwanza.
Arusha walihost game za awali (nusu fainali), Mwanza wakahost game ya fainali na game ya mshindi wa tatu.

Starz nusu fainali ilicheza na Congo DRC na game ikaisha 2-2 wakaenda mikwaju ya penalt ambapo starz ilishinda.. Tena hii game stars ilichomoa dakika ya 88 kupitia Nteze John ambaye pia alifunga goli la kwanza.

sasa mkuu tueleze hayo mashindano yako ya 2001 ya Castle cup nani alikua bingwa na yalifanyika wapi
 
2001 mashindano
Host:Rwanda

Final Ethiopia akampiga Kenya 2-1

2002 mashindano

Host Tanzania.
Final. Kenya kampiga Tanzania 3-2
Bingwa Kenya

Mkuu hivi unajua huu UZI unahusu mashindano gani??
 
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
Daah kwa vipaji vya Nteze,Macho,salva,Modest nasikitika mpira wao kuishia Tanganyika...
 
Back
Top Bottom