Misumari au majeraha? Keita anapigwa misumari na Hendo?Wazir mahadhi mandieta! Fundi wa mpira aliyemalizwa na majeruhi! Alibarikiwa sana huyu mtu! Misumari ya kina credo mwaipopo ikamstaafisha kabla ya muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misumari au majeraha? Keita anapigwa misumari na Hendo?Wazir mahadhi mandieta! Fundi wa mpira aliyemalizwa na majeruhi! Alibarikiwa sana huyu mtu! Misumari ya kina credo mwaipopo ikamstaafisha kabla ya muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni chalii aisee, 2000's unaita wakongwe? Watu tutakukumbusha game za 1990 hukoKumbe wakongwe mpo wengi.
Huo mwaka 1990 ndo kabisa sijazaliwa utaukiniongopea au kuongeza chumvi sitajua kabisa.We ni chalii aisee, 2000's unaita wakongwe? Watu tutakukumbusha game za 1990 huko
Duuuu! Sawa mkuuHuo mwaka 1990 ndo kabisa sijazaliwa utaukiniongopea au kuongeza chumvi sitajua kabisa.
Hii game naikumbuka nilikuwepo kiwanjani Kirumba nakumbuka goli la ushindi la Kenya tulifungwa na Dennis Onyango baada ya kumzidi ujanja beki Lubigisa Madata2001 Stars haikuwa bingwa.
Labda unaongelea CECAFA ya 2002 ,Fainali ilifanyikia Mwanza. Kenya wakaifunga Taiga stars ya kina Pawasa 3-2. Kenya wakawa mabingwa.
Conclusion. Tanzania haikushinda 2001 wala 2002
Zamani palikuwa Na Castle Na CECAFA. Castle Tz ilichukua 2001. CECAFA Tz ikapigwa 2002Hii game naikumbuka nilikuwepo kiwanjani Kirumba nakumbuka goli la ushindi la Kenya tulifungwa na Dennis Onyango baada ya kumzidi ujanja beki Lubigisa Madata
Hii game naikumbuka nilikuwepo kiwanjani Kirumba nakumbuka goli la ushindi la Kenya tulifungwa na Dennis Onyango baada ya kumzidi ujanja beki Lubigisa Madata
Mkuu miaka 19 paref kinyama, nipo std 1 *****2001 ni juzi tu hapo mkuu wala sio mbali