Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
😂 😂 😂 😂 😂anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Bro hivi unajua hili ni jukwaa la nini?Wasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kitimoto au makangee!!Nasikia hutengenezwa kwa oda maalumu. Yaani huwezi likuta showroom. Unaagiza wakutengenezee.
Una stresses pole sana mkuu..Wasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Labla Cresta mzee..Mbona niliwahi kuona gari la hivyo Mwanza.
Mkuu huyu mwamba ni msanii wa bongo fleva achana nae, mziki ulisha mshinda 😂😂Bro hivi unajua hili ni jukwaa la nini?
Je wewe unahisi kumjadili mtu kwa mafanikio aliyofikia ni dhambi?
Diamond hawezi kufilisika yule, Hotel Mikocheni atapiga hela mzee maana jina tu ni brand tayari, atapiga hela kwenye hiyo hotel hadi mtashangaaNamuonea sana huruma Diamond Platnumz. Anajaribu kuprove point kwa watu ambao hawako kwenye mashindano nae. Jamaa akifilisika hapo mbele sintoshangaa. Eti hoteli Mikocheni🤣🤣🤣. Aya bana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro hivi unajua hili ni jukwaa la nini?
Je wewe unahisi kumjadili mtu kwa mafanikio aliyofikia ni dhambi?
Bro hivi unajua hili ni jukwaa la nini?
Je wewe unahisi kumjadili mtu kwa mafanikio aliyofikia ni dhambi?
Una stresses pole sana mkuu..