Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

Litaendeshwa angani?! Halitakaa foleni kwenye mataa etc. Kama No, basi ni sawa na IST yangu tu Ushamba umezidi?!
 
Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..

So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,


94443861_1107596089616887_4314303565184106496_n.jpg


95125762_280546476280188_7668589340217311232_n.jpg


94658162_1085087611859234_1859997709939769344_n.jpg


94640992_1369527053242280_3872161180554362880_n.jpg


95222650_593717371505998_2662903105321959424_n.jpg
Ila. Litapita Barabara Zipi? Buza Kwa Lulenge au Tandale Kwa Tumbo Road? au Wazo Madale Road penye Gari za Cement?
 
alafu mbona hii picha ya gari ni left hand?kwa barabara zetu left hand sio.hau labda ni picha tu ya mfano?

king ni mmoja tu nae ni simba.simba ni simba tu anao uwezo wa kumla tembo ama mnyama yeyote yule


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So as we get drunk ,so as we smoke w.e.e.d
we just havin' fun we don care who sees
 
Usichekeshe aliyekuambia gari zenye usukani mkono wa kushoto tz hazipo ni nani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ni wa kukurupuka.mimi huyu nimesema hazipo ?.embu nionyeshe ilo neno hazipo nimeandika wapi?

weekend iliyopita kuna mzee ni jirani aliniomba nimfatie gari yake gereji ni jeep grand cherokee left hand.
mfumo wa ukaaji wa stering za magari.kuna nchi barabarani zinatumia kushoto na kuna nchi zinatumia kulia.sasa unapo agiza gari unaagiza kulingana na aina ya barabara ya nchi husika.

ila apendavyo mtu unaweza agiza gari ya left hand wakati nchi yako barabara ni kulia.ni maamuzi ya mtu pia.ila kwa tanzania gari nyingi mfumo wa stering ni kulia.kushoto zipo ila si nyingi kama za kulia.

kama unafahamu mambo ya magari uatakuwa umeelewa nadhani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ni
wewe ni wa kukurupuka.mimi huyu nimesema hazipo ?.embu nionyeshe ilo neno hazipo nimeandika wapi?

weekend iliyopita kuna mzee ni jirani aliniomba nimfatie gari yake gereji ni jeep grand cherokee left hand.
mfumo wa ukaaji wa stering za magari.kuna nchi barabarani zinatumia kushoto na kuna nchi zinatumia kulia.sasa unapo agiza gari unaagiza kulingana na aina ya barabara ya nchi husika.

ila apendavyo mtu unaweza agiza gari ya left hand wakati nchi yako barabara ni kulia.ni maamuzi ya mtu pia.ila kwa tanzania gari nyingi mfumo wa stering ni kulia.kushoto zipo ila si nyingi kama za kulia.

kama unafahamu mambo ya magari uatakuwa umeelewa nadhani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikurekebishe kidogo,Gari za kupewa na kununua Zina utofauti kidogo!!!...umeona hammer aliyokua nayo Gwajima ni left hand kwasababu alipewa lakini kuna zilizopo hapa sana sana mwanza na Arusha ni right hand!!!...Gari ya kutoa order kiwandani nadhani utawaambia unataka right hand!!!...kuna mtu anaitwa DGE nadhani huyu Ana magari mengi ya Ulaya hata kina bakressa lakini nyingi ni right hand
 
yap nakubaliana na ww.kwa hapa bongo mtu huwezi agiza gari ya left hali ya kuwa huku kwetu ni kulia.
otherwise labda iwe ya msaada ama kupewa.
Naomba ni
Naomba nikurekebishe kidogo,Gari za kupewa na kununua Zina utofauti kidogo!!!...umeona hammer aliyokua nayo Gwajima ni left hand kwasababu alipewa lakini kuna zilizopo hapa sana sana mwanza na Arusha ni right hand!!!...Gari ya kutoa order kiwandani nadhani utawaambia unataka right hand!!!...kuna mtu anaitwa DGE nadhani huyu Ana magari mengi ya Ulaya hata kina bakressa lakini nyingi ni right hand
moja kati ya changamoto za left hand ni ku over take.hasa kwa sisi wapenda mbio ni shida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia hutengenezwa kwa oda maalumu. Yaani huwezi likuta showroom. Unaagiza wakutengenezee.
Mapambano mengi makubwa aliopigana Floyd Mayweather alikuwa akiweka oda lakini nawasi wasi na hili la domo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] litakuwa la mtumba yani used sio kutoka moja kwa moja kiwandani tena nahisi atakuwa kanunua hapo SA, Juzi tu hapa Mzee wangu meek mill aliuza lake kwajili ya kusaidia kuchangia serikali dhidi ya mapambano ya corona huko maandishi matatu (USA)
 
mkuu hii umeleta hapa inaitwa phantom,sio tecno.bali phantom ya RR ni moja kati ya gari latest kabisa za kampuni hiyo.mond hawezi agiza hii vasion.

kama ni matoleo ya nyuma huko sawa.kingine ni kwamba haya madude toka yameanza kutengenezwa miaka hiyo,inasemekana yote yapo barabarani[emoji16][emoji16],yaani hamna ambalo haliwaki,so ni gari kiwango kweli kweli.

kama ameagiza hata la mwaka 80,bado atakiwa katoboka vizuri tu,maana ni gari haswaa.asiwe katupiga tu maana hakawii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom