Sio tusionacho ila tulio na vichache af maisha ndvyo yalivyo
Tunaona hata akina Dj khaled ,Kanye n more huwa wanawaongelea wengine ko sio hajabu
juzi kati tu hapo baada ya davido kutangaza ananunua ndege tuliwasikia hao unaiwaona wanacho wakijadili kuhusu walionacho zaidi yao.
ULIANZA KUTESEKA siku nyiiiiiingiiii.Namuonea sana huruma Diamond Platnumz. Anajaribu kuprove point kwa watu ambao hawako kwenye mashindano nae. Jamaa akifilisika hapo mbele sintoshangaa. Eti hoteli Mikocheni🤣🤣🤣. Aya bana!
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hii umeleta hapa inaitwa phantom,sio tecno.bali phantom ya RR ni moja kati ya gari latest kabisa za kampuni hiyo.mond hawezi agiza hii vasion.
kama ni matoleo ya nyuma huko sawa.kingine ni kwamba haya madude toka yameanza kutengenezwa miaka hiyo,inasemekana yote yapo barabarani[emoji16][emoji16],yaani hamna ambalo haliwaki,so ni gari kiwango kweli kweli.
kama ameagiza hata la mwaka 80,bado atakiwa katoboka vizuri tu,maana ni gari haswaa.asiwe katupiga tu maana hakawii.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hata 'Mchonga' alitumia toleo hilo, wale wahenga nadhani wanakumbuka.Hili ni toleo la zamani !!
Lakini yako machache Sana
Hata huyo muhindi Tanganyika bas huwa anaikodisha kwa maharusi au Kama una mgeni wako maalum unataka kumtembeza mjini!
Pia ndio toleo analotumia malkia Elizabeth mpaka leo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hiyo gari haijafika TZ tangia zile kelele? Afu plate number mtu kaedit isomeke Platnumz. Acheni utani. Diamond ni msanii. Pesa aliyonayo ni ya kusumbua vijana wenzake wawili wa3. Sio kama mnavyomuweka. Ni wa kawaida mno kwa kundi kubwa la watu hapa TZ.
NI MIDDLE INCOME KAMA WATZ WENGI. Shida yenu vijana ni kuona jamaa anapiga Show inaingiza mil 200. Hamjui pia katumia gharama kibao na madeni kibao ya kufix. Mikataba ya matangazo sio kama mdhaniavyo.
JARIBUNI KUCHECK FINANCIAL STATEMENTS ZA HAYO MAKAMPUNI MCHEKI ILE ADVERTISEMENT expenses mjionee. Ktk kipengele hicho gharama kubwa huwa ya mabango hasa kulipia TRA, radio na Tv. Mtu kubuni tangazo sio kwamba atalipwa mzigo mzito kihivyo.
Pendeni kujifunza kuwa wawazi. Msiendeshwe na upenzi sijui wa muziki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mdogo ananyonya kidole gumba?Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..
So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
GARI YETU IMEFIKA..????
Finally kimetimiaPongezi kwake ni mfano mzuri wa kuigwa wa maendeleo,, kuwa unacho kiwaza chaweza kutimia
Yule kasha kuwa bilionea kubali kataa, huto mfikia maishani yako yote utaishia kuwa mchambuzi tuu kama akina oscar oscar
Jaribu kutumia akili japo kidogo kama unazo, huwa nasapoti sana hustles za vijana na hiyo post si yangu bali nimei-repost kumkumbusha hater mmoja kuwa alichokuwa akiombea kisiwezekane sasa kimewezekana.Yule kasha kuwa bilionea kubali kataa, huto mfikia maishani yako yote utaishia kuwa mchambuzi tuu kama akina oscar oscar
Sisi matajiri huwa tunasifiana wewe maskini endelea kupambana ili utufikieMtoto mdogo ananyonya kidole gumba?
Mtu ana watoto na midevu unasema mtoto?
Na hao akina rashoford wenye miaka 22 lakini wana kufuru ya pesa utasemaje?
Tafuta pesa Mzee,,wacha kusifia wanaume wenzio.
Bora umasikini wangu wa heshima kuliko wewe unayepewa utajiri kwa kupakatwa,,Sisi matajiri huwa tunasifiana wewe maskini endelea kupambana ili utufikie