Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Haswaaaa. Ndipo ilipo hio RRTilapia hotel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaa. Ndipo ilipo hio RRTilapia hotel.
Mkuu acha fiksi. RR zinatengenezwa kwa oda. Ukiweka oda ww ndio unaamua iwe left hand ama right hand driven, kuendana na mahali inapoenda kutumika, kama ni mfumo wa left ama right hand drive. Kusoma hujui, hata picha huoni bro?Hakuna Roll Royce right hand japo zinatengenezwa Uingereza
Hahah hio machine nilikua naionaga sana hapo mkuu.Haswaaaa. Ndipo ilipo hio RR
Haya mkuu nimekupata. Nilitaka kukupita hivihivi kwasababu umebadilisha avatar Picha irudishe ile ina satellite dish maporini.Mkuu acha fiksi. RR zinatengenezwa kwa oda. Ukiweka oda ww ndio unaamua iwe left hand ama right hand driven, kuendana na mahali inapoenda kutumika, kama ni mfumo wa left ama right hand drive. Kusoma hujui, hata picha huoni bro?
🤣 🤣 🤣 hapana kaka. Nipo Tanzania kitambu, nalisongesha. Nilisharejea toka kwa mabeberuHaya mkuu nimekupata. Nilitaka kukupita hivihivi kwasababu umebadilisha avatar Picha irudishe ile ina satellite dish maporini.
Bado hupo Oslo?
Kwa hiyo usipomjadili ndo unapata hela?Wasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kuna ubaya gani kuwaambia mashabiki zake ambao wanafanya awe na Mafanikio hayo.Kwani ukitaka kununua kitu hadi utangaze? huo ni uzuzu.kumbe mtoto kalithi ulimbukeni kutoka kwa mama.
Inaonekana wewe ni mchambaji sana umenichanganya hapo kwenye UTOPOLO kwani maana yake nini mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwakeHii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..
So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sioni sababu ya msingi ya kumshambulia mleta uzi,onesha ulivyonavyo tuvijadili hapaWasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Uruguay kuna watu wangapUnamua sana kwa gari alilolipata mwenzio.?
Ninachokushangaa zaidi unafananisha Industry yenye support ya ndani ya watu zaidi milion 200 na industry yenye support ya watu zaidi mil 50 alafu unafanya comparison ya achievement.