Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

yah kwani wewe roho haikuumi,kuona msanii wa nje anatoboa kimasiha wakati wa ndani jasho jingi mavuno hafifu!!!
ndio maana nasema bado sana,kwani SA ina watu milioni mia ngapi!!!!

ukiangalia hata pay per view youtube bado tz tunalipa watu pesa ndogo mno,hii inazidi kuchangia sanaa kuleta matokeao hafifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe roho inakuuma?
🤣🤣🤣

Kutoa jasho ndio sifa ya mwanaume.

Mimi hainiumi bali ana ni inspire na kuni motivate ktk kutafuta kwangu.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Rolls Royce , the epitome of automotive luxury .

Phantom litamfaa sana kama anataka ile 'boss feeling' anakaa nyuma anaendeshwa
 
Kwa hiyo wewe roho inakuuma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kutoa jasho ndio sifa ya mwanaume.

Mimi hainiumi bali ana ni inspire na kuni motivate ktk kutafuta kwangu.
mhhh haaya.nadhani hujanielewa.

hivi kati ya mond na tecno nani mwanaume katika vigezo vya kuhaso???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huko mbali muone kijana wa duro pale tekno,utajua bado sana[emoji16][emoji16][emoji16].

ila kiukweli huwa naumia basi tu.yaani mond ndio kafika peek lakini gari ya kifahari anayomiliki,toyota.anyway wanazi wake watasema nachonga sababu sina hata baiskeri.

Sent using Jamii Forums mobile app
DIAMOND HAMILIKI ILE GARI. NASISITIZA HAMILIKI ILE GARI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa system hao,kijana sasa amefikia juu. Haya mambo kuyapata si wote bali ni kwa wenye nyota maalumu.
Katika system hii hakunaga kufilisika bali ni kifo tuu ndio kitakutenganisha na mali zako.
Haya makitu wengi hawayajui,wana chekelea chekelea tuu.
The world was dedicated to two kind of people, ''Smart and Poor">(kama nimekosea wakuu wa kuedit kanyaga twende)
 
Back
Top Bottom