Hii ndiyo gari ya kiume Toyota hapa walifanikiwa sana 2007 hadi 2010

Hii ndiyo gari ya kiume Toyota hapa walifanikiwa sana 2007 hadi 2010

kuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
 
kuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
Isije kuwa alikuwa anaendesha kawaida tu sema ndio vile wewe tena Mwanaume wa Dar
 
kuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
Huyu demu ukimiliki lazma uwe roho ngumu.
 
Gari imesimama sana hio! Japo sikuwahi kuipenda compared na ile 100 series...hadi ambapo walitoa facelifted ya 2016 ile.
 
Yaa ni Zuri sana
images%20(5).jpg
 
Toyota na nissan patrol walikuwa wakishindana hapo kabla , toyota akitoa nissan naye anajibu, Ila ilipotoka hii ngoma nissan hakujibu kwa wakati alikuja kujibu baadaye sanaaa kwa kuchelewa na nissan v8 ya petrol na haikufanya vizuri,
+1
Hii model na mimi naikubali sana
We ulijuaje kama walikuwa wanajibizana ?
 
We ulijuaje kama walikuwa wanajibizana ?
Trend ya manunuzi Kati ya nissan patrol na land cruiser ilikuwa inakaribia sana hapo zamani, hata serikali ilikuwa inanunua gari hizi mbili katika uwiano unaokaribiana pia
Ila ilipotoka model hii ya land cruiser , nissan patrol zikaanza kupoteza mvuto na hata mauzo.,nakumbuka hii gari ikiingia nchini Miaka ya 2009 mwishoni
 
Back
Top Bottom