Hii ndiyo gari ya kiume Toyota hapa walifanikiwa sana 2007 hadi 2010

Hii ndiyo gari ya kiume Toyota hapa walifanikiwa sana 2007 hadi 2010

Nilisikiliza documentary Toyota walitumia zaidi ya miaka7 Hadi Kuja na hii chuma mwaka 2007 body ya SUV

Nissan hapa aliingizwa Cha kike aisee
Jibu rahisi ni kwamba LC zinakubalika Tz kuliko Patrol..
Sehemu kama Australia na Uarabuni huwaambi kitu kuhusu Patrol...wanazielewa sana...

Mwisho wa yote, naweza kusema LC na Patrol zinamudu mazingira magumu kuliko gari za Ulaya kama vile Range Rover

Tazama hapa mpaka mwisho.

 
  • Thanks
Reactions: PYD
wakima mama wanatutia aibu huku mtaani sijui fedha wanatoa wapi iyo midudee hatari. alafu utashanga anavo endesha kaa pro vile fujo kidogo yan daah😅😅😅
 
wakima mama wanatutia aibu huku mtaani sijui fedha wanatoa wapi iyo midudee hatari. alafu utashanga anavo endesha kaa pro vile fujo kidogo yan daah[emoji28][emoji28][emoji28]
Nilikutana na mmoja anapush hii ndinga, mdada mwenyewe kwanza mashalaaah kajaaliwa , heavy duty flan , halafu kwenye foleni alikuwa sharp hakubali kuchomekewa kirahisi , power command na brake response kwa hizio ndinga ni next level , na anajua vizuri uwezo wa gari yake .
It was very fun ride
 
Back
Top Bottom