kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 570
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna demu wa kawaida sana namfahamu anaendesha hii...ninaposema wa kawaida nieleweke..
1.hana tako
2.uso wake hauna mvuto
3.hana nyonyo zenye mvuto
4.Kimbaumbau kias flani..
5..ila anasauti nzuri sana..
Over
Isije kuwa alikuwa anaendesha kawaida tu sema ndio vile wewe tena Mwanaume wa Darkuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
yule mkurugenzi wameshamuondoa kwani?Haya si ndio yamemtemesha tonge mkurugenzi?
Huyu demu ukimiliki lazma uwe roho ngumu.kuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
Wahuni Wamemzingira Wamempiga Zengweyule mkurugenzi wameshamuondoa kwani?
oyaaa ya mkemia hii[emoji3]Yaa ni Zuri sanaView attachment 1656067
Kweli fazaoyaaa ya mkemia hii[emoji3]
Nilisikiliza documentary Toyota walitumia zaidi ya miaka7 Hadi Kuja na hii chuma mwaka 2007 body ya SUV
Nissan hapa aliingizwa Cha kike aisee
Nilisikiliza documentary Toyota walitumia zaidi ya miaka7 Hadi Kuja na hii chuma mwaka 2007 body ya SUV
Nissan hapa aliingizwa Cha kike aisee
Nini hiki..[emoji15][emoji15]Yaa ni Zuri sanaView attachment 1656067
We ulijuaje kama walikuwa wanajibizana ?Toyota na nissan patrol walikuwa wakishindana hapo kabla , toyota akitoa nissan naye anajibu, Ila ilipotoka hii ngoma nissan hakujibu kwa wakati alikuja kujibu baadaye sanaaa kwa kuchelewa na nissan v8 ya petrol na haikufanya vizuri,
+1
Hii model na mimi naikubali sana
Aliambiwa na TOYODA kama utakua unamfahamuWe ulijuaje kama walikuwa wanajibizana ?
👍Monsters of African jungle..
Patrol vs Land cruiser
Trend ya manunuzi Kati ya nissan patrol na land cruiser ilikuwa inakaribia sana hapo zamani, hata serikali ilikuwa inanunua gari hizi mbili katika uwiano unaokaribiana piaWe ulijuaje kama walikuwa wanajibizana ?