wakima mama wanatutia aibu huku mtaani sijui fedha wanatoa wapi iyo midudee hatari. alafu utashanga anavo endesha kaa pro vile fujo kidogo yan daah[emoji28][emoji28][emoji28]
Nilikutana na mmoja anapush hii ndinga, mdada mwenyewe kwanza mashalaaah kajaaliwa , heavy duty flan , halafu kwenye foleni alikuwa sharp hakubali kuchomekewa kirahisi , power command na brake response kwa hizio ndinga ni next level , na anajua vizuri uwezo wa gari yake .
It was very fun ride