Hii ndiyo JamiiForums!!

Tatizo watoto wengi wanajua mitandao ya kijamii ni kwa ajili ya kufanya uasherati,
Sasa wakiwakuta watu wazima mule wanashtuka wanajua na wao wana mawazo finyu kama wao,

Humu mpk viongozi wa dini wapo, so usishange dogo.
 

Sasa mal ndo unaleta hizi habari huku?si ungekaa kimya tu kuliko kuanza kunisema mama ako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…