Hii ndiyo JamiiForums!!

Hii ndiyo JamiiForums!!

Daaah!? kumbe maza'ako ni faiza Fox!?
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakongwe humu wametukuu wanajifyatua akili tu humu sababu hatujuani.
 
Baba yangu pia yupo JF sijui jina analotumia wala ye hajui mi natumia ID gani, na wala sijaona tatizo lolote yeye kuwepo.
 
Mbona bado Sana humu Jamii forum ,mpaka kuna maraisi wa nchi nyingine humu sema tuuu huwa wanajitoa ufahamu si unajua wao some time huwa main topic
 
Jamani hivi utajisikiaje kukuta Mzazi wako yuko JF?
Kilichonikuta sitaki kusema kabisaaa.
Yani kuna mtu huwa namwonaga jukwaa fulani hivi kumbe daah ni Maza mkubwa yani.
Imenifanya nijiulize kama huyu yuko JF kweli Maza wangu atakosa kweli?

Tupo kitaa kwetu nilirudi kwa ajili ya harusi,
Sasa ile asubuhi tunapiga story na kina maza wadogo na wakubwa laptop ya Maza mkubwa ikanivutia nkasema ngoja niicheki ntoe ushamba.

Duuh sasa kuicheki kwenye browser hivi nakuta alikuwa Jamiiforums na Jina lake lina Display.
Pozi liliisha, nikaja kujua humu ndani kumejaa maajuza aisee.
Ila wanajitoaga ufahamu tu.









Kuna haja gani ya kuwa member na kujificha bora usiwe member in the first place..



Alafu tuwe waelewa mifumo ya taarifa inatumia protocols ....

Protocols zina syntax zake na standard conventions universally ndiyo sababu unaeza hack lakini utashikwa tu..

Sasa wewe upo hapa kujificha??

Really??

Think again baaana be civilized si vyema kufikiri ukiwa hauonwi ndiyo uwe uncivilized. ..


No offenses!
 
Back
Top Bottom