Hii ndiyo jeuri ya fedha! Check Convoy ya Diamond na Zuchu Uwanja wa Ndege Dar (JNIA) wakielekea kwenye show Kenya

Hii ndiyo jeuri ya fedha! Check Convoy ya Diamond na Zuchu Uwanja wa Ndege Dar (JNIA) wakielekea kwenye show Kenya

Pila wese la pididy jamaa hiyo rr angeiona kwenye youtubu tu
Yaani bado kuna watu mna akili finyu namna hii?! Halafu jina lako unaonekana ni mtoto wa kiume! Tafuta pesa ili uachane na chuki. Yaani huoni aibu mtu anavyopambana na maisha kwa takribani miaka 15 sasa, halafu bila aibu unadai hizo gari kafirwa na P Didy ndo akapewa?! Chuki za kishamba kabisa hizi; ndo nyie mtu akifanikiwa mara mseme kaua ndugu zake; mara freemansons, na upuuzi mwingine kwa sababu tu ya kuwa na akili finyu.
 
Yaani bado kuna watu mna akili finyu namna hii?! Halafu jina lako unaonekana ni mtoto wa kiume! Tafuta pesa ili uachane na chuki. Yaani huoni aibu mtu anavyopambana na maisha kwa almost 15 years now, halafu bila aibu unadai hizo gari kafirwa na P Didy ndo akapewa?! Chuki za kishamba kabisa hizi; ndo nyie mtu akifanikiwa mara mseme kaua ndugu zake; mara freemansons, na upuuzi mwingine kwa sababu tu ya kuwa na akili finyu.
Ingia youtube kuna mahojiano alifanya baada ya kutoka kwa zee la baby johnson
 
Ingia youtube kuna mahojiano alifanya baada ya kutoka kwa zee la baby johnson
Tafuta pesa ili upunguze chuki kwa waliokuzidi! Ni ujinga kudhani kila aliyeenda kwa P Diddy basi kafirwa na P Diddy! Kwanza ungekuwa umefuatilia issue nzima ungefahamu ule ushenzi ulikuwa unafanyika kwenye private parties!! Na zile private parties zilikuwa zinahusisha watu maarufu na hadi Vigogo!! Sasa hivi kwa akili yako unadhani sehemu kama hiyo ataruhusiwa mgeni ambae hawamfahamu?! Ikiwa P Diddy na Mafirauni wenzake wamefanya ule ushenzi kwa miaka nenda rudi bila siri kutoka nje maana yake ni kwamba walikuwa wanafanya kwa usiri mkubwa! Sasa usiri utatoka wapi kama utaruhusu hata walk-in guests?!
 
Tafuta pesa ili upunguze chuki kwa waliokuzidi! Ni ujinga kudhani kila aliyeenda kwa P Diddy basi kafirwa na P Diddy! Kwanza ungekuwa umefuatilia issue nzima ungefahamu ule ushenzi ulikuwa unafanyika kwenye private parties!! Na zile private parties zilikuwa zinahusisha watu maarufu na hadi Vigogo!! Sasa hivi kwa akili yako unadhani sehemu kama hiyo ataruhusiwa mgeni ambae hawamfahamu?! Ikiwa P Diddy na Mafirauni wenzake wamefanya ule ushenzi kwa miaka nenda rudi bila siri kutoka nje maana yake ni kwamba walikuwa wanafanya kwa usiri mkubwa! Sasa usiri utatoka wapi kama utaruhusu hata walk-in guests?!


Mwambie na yeye afirwe aone kama atapata pesa.
 
Back
Top Bottom