PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Hapo hakuna mwnye million mia bank pesa ya Nyerere
Zaidi unakuta milon kumiš¤£
Mkuu milioni mia ya Nyerere ni sawa na $40,000 pesa ambayo hata wamachinga wa Dar wanakamata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hakuna mwnye million mia bank pesa ya Nyerere
Zaidi unakuta milon kumiš¤£
UTawaweza chawa wa mtibuliwa vumbiMbona tugari mwenyewe ni tutatu tu?
Convoy nikajua ni msururu wa vyuma toka hapo uwanjani mpaka getini.
Hahaaa!UTawaweza chawa wa mtibuliwa vumbi
Fukara mwenzetu wewe unayo uhakika.wa lunch ukiamka kwenye stoo.yako hapoThere's no greater punishment than jealous. Wengi wao chuki zimewajaa kwasababu hela yote wamenunua bando lakini hawana hata uhakika wa lunch wakiamka kesho.
[emoji706]Just enjoying the comments, hapa ndiyo sehemu ya walamba vumbi kuonyesha frustrations zao. Hatred is fvcking real.View attachment 3170914
Yaani bado kuna watu mna akili finyu namna hii?! Halafu jina lako unaonekana ni mtoto wa kiume! Tafuta pesa ili uachane na chuki. Yaani huoni aibu mtu anavyopambana na maisha kwa takribani miaka 15 sasa, halafu bila aibu unadai hizo gari kafirwa na P Didy ndo akapewa?! Chuki za kishamba kabisa hizi; ndo nyie mtu akifanikiwa mara mseme kaua ndugu zake; mara freemansons, na upuuzi mwingine kwa sababu tu ya kuwa na akili finyu.Pila wese la pididy jamaa hiyo rr angeiona kwenye youtubu tu
Everage sijui average ni kuanzia kiasi ganiWanalazimisha standard na private jet every day? Hata kama unafake life lazima uwe na pesa above evarage mzee.
Ingia youtube kuna mahojiano alifanya baada ya kutoka kwa zee la baby johnsonYaani bado kuna watu mna akili finyu namna hii?! Halafu jina lako unaonekana ni mtoto wa kiume! Tafuta pesa ili uachane na chuki. Yaani huoni aibu mtu anavyopambana na maisha kwa almost 15 years now, halafu bila aibu unadai hizo gari kafirwa na P Didy ndo akapewa?! Chuki za kishamba kabisa hizi; ndo nyie mtu akifanikiwa mara mseme kaua ndugu zake; mara freemansons, na upuuzi mwingine kwa sababu tu ya kuwa na akili finyu.
Sio kulazimisha Standard Mkuu, ni ku maintain standard.Jamaa wana maisha magumu sana, hakuna kitu kigumu kama kulazimisha standard
Tafuta pesa ili upunguze chuki kwa waliokuzidi! Ni ujinga kudhani kila aliyeenda kwa P Diddy basi kafirwa na P Diddy! Kwanza ungekuwa umefuatilia issue nzima ungefahamu ule ushenzi ulikuwa unafanyika kwenye private parties!! Na zile private parties zilikuwa zinahusisha watu maarufu na hadi Vigogo!! Sasa hivi kwa akili yako unadhani sehemu kama hiyo ataruhusiwa mgeni ambae hawamfahamu?! Ikiwa P Diddy na Mafirauni wenzake wamefanya ule ushenzi kwa miaka nenda rudi bila siri kutoka nje maana yake ni kwamba walikuwa wanafanya kwa usiri mkubwa! Sasa usiri utatoka wapi kama utaruhusu hata walk-in guests?!Ingia youtube kuna mahojiano alifanya baada ya kutoka kwa zee la baby johnson
Tafuta pesa ili upunguze chuki kwa waliokuzidi! Ni ujinga kudhani kila aliyeenda kwa P Diddy basi kafirwa na P Diddy! Kwanza ungekuwa umefuatilia issue nzima ungefahamu ule ushenzi ulikuwa unafanyika kwenye private parties!! Na zile private parties zilikuwa zinahusisha watu maarufu na hadi Vigogo!! Sasa hivi kwa akili yako unadhani sehemu kama hiyo ataruhusiwa mgeni ambae hawamfahamu?! Ikiwa P Diddy na Mafirauni wenzake wamefanya ule ushenzi kwa miaka nenda rudi bila siri kutoka nje maana yake ni kwamba walikuwa wanafanya kwa usiri mkubwa! Sasa usiri utatoka wapi kama utaruhusu hata walk-in guests?!
Eti Zuhura Naye Ni MegastarMafukara tu hao hamna mwenye hela hapo
Kashaanza ku sniff cocaine .. bwana ake wa mchongo kamfundishaZuchu anashida gani mbona amevaa nguo iliochanika .
Yan fukara anakomesha mafukara ? [emoji23][emoji23]Anawakomesha haters.