Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Sasa mkuu analazimisha vipi wakati ndio maisha yake
Tena mavi mabichiUsper star β¨ ni zigo la mavi
Fidq
Big time, yaani ukisoma comments zao utawaonea huruma. Burning inside with hatred, probably walikuwa na background ya middle class lakini wameishia kuwa walamba vumbi ila dogo aliyetokea Uswazi leo anasafiri kwa private jet na magari anayomiliki hata kwenye ndoto zao hayapo.Anawakomesha haters.
Jizungumzie wewe, kwani Lugumi yuko kwenye kundi la haters hapa.Yan fukara anakomesha mafukara ? [emoji23][emoji23]
*****, mmeshawaona wenye hela nyie mamburula...unanunua gari copy ya RR unasema una hela..
Na lugumi tusemeje sasa
Nimewaonea wivu kusema kweli..π
mkuu mi sitaki kuwasemelea wengine wao watajua wenyewe...πHiyo inatakiwa mazee, being jealous and inspired sio hawa wengine wana envy.
Sina chuki huo ndio ukweli diamond ni fukara tu kama mafukara mengine. Drug addict for that fucking matter...una convoy ya gari 5 unajiita tajiri..fools.Jizungumzie wewe, kwani Lugumi yuko kwenye kundi la haters hapa.
Hii ni Diamond vs his haters.
Yaani huyo hater aonyeshe anavyomiliki ili kama kamzidi Diamond ndiyo tutaamini hiyo hatred aliyonayo haisababishwi na kufeli kwake kimaisha.
Umasikini + chuki kwa watu waliokuzidi kiuchumi ni sumu inayotafuna moyo painfully.
Mtu yoyote mwenye akili timamu anawekaje milioni 100 bank? Yan inakua imekaa tu?Hapo hakuna mwnye million mia bank pesa ya Nyerere
Zaidi unakuta milon kumiπ€£
Hehe hakutoa huduma vizuri ndo maana sahivi na komasava yake kapigwa kibuti mapemaNguvu ya p.diddy
Anamlipaje monthly salary Kitenge na wenzake?Mafukara tu hao hamna mwenye hela hapo
Kumlipa yule boya kitenge ndio utajiri kumbe..Anamlipaje monthly salary Kitenge na wenzake?
ππππHehe hakutoa huduma vizuri ndo maana sahivi na komasava yake kapigwa kibuti mapema
Everage sijui average ni kuanzia kiasi gani