LGE2024 Hii ndiyo maana ya Kifua Kipana cha Waziri Mchengerwa?

LGE2024 Hii ndiyo maana ya Kifua Kipana cha Waziri Mchengerwa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Siku Rais Samia alipomteua Mchengerwa kuwa Waziri wa TAMISEMI, alimsifia kuwa Mchengerwa ana kifua kipana!! Kila mmoja alitoka na tafsiri yake juu ya kauli hiyo ya Rais Samia. Lakini wengi tulidhania kuwa kifua kipana cha Mchengerwa, japo hatujawahi kukiona, Rais alikuwa akimaanisha uwezo wa Mchengerwa katika kupigania kufanikisha mambo mazuri. Kumbe tulikosea sana.

Yanayoendelea sasa kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaosimamiwa na waziri Mchengerwa, sasa tunapata maana halisi aliyoimaanisha Rais Samia. Kifua kipana cha Mchengerwa, kwa kuzingatia maovu yanayoendelea:

1. Kuandikisha watoto wa shule ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura.

2. Kutoa takwimu za uwongo za watu waliojiandikisha kupiga kura, kama zile za kuonesha wananchi wote wa Dar na Mwanza (rejea takwimu za sensa), mpaka waliokuwa watoto wa chini ya miaka mitano wakati wa sensa, sasa wamejiandikisha kupiga kura.

3) Kuengua wagombea karibu wote wa kutoka vyama vya upinzani.

4) Kuwaambia walioenguliwa wakate rufaa, huku kukiwa na maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi wafunge ofisi, ili wanaokata rufaa, rufaa zao zikose mtu wa kuzipokea,

bila shaka kifua kipana cha Mchengerwa ni katika kusimamia uovu bila aibu wala woga.

Uharamia unaofanyika sasa dhidi ya wagombea wa vyama vya upinzani, ni ule ule wa mwaka 2019. Mwaka ule lawama zote zilikuwa kwa hayati Magufuli, kuwa ndiye aliyelekeza wapinzani wote waenguliwe. Je, huu uharamia wa sasa, ina maana ni maelekezo ya Rais Samia, kupitia huyu Waziri mwanafamilia wake?

Utawala wa Rais Samia, kila mara ulijipambanua ni utawala bora zaidi katika demokrasia na haki kuliko hayati Magufuli, je, huo uzuri ni upi? Wagombea wa upinzani wameenguliwa kama wakati wa Rais Magufuli, wakosoaji wa Rais Samia wametekwa na kupotezwa kama wakati wa hayati Magufuli. Wakati wa hayati Magufuli, mkosoaji mkuu Tindu Lisu alishambuliwa na kunusurika kifo, lakini wakati wa Samia Ali Kibao alitekwa na kuuawa.

Je, huu utawala una jema lipi kuuzidi utawala wa Hayati Magufuli?

Pamoja na tunayomlaumu hayati Magufuli, lakini angalao kuna vitu vizuri alivyovifanya, vipo na vinaonekana.
 
Ofisi ya Mtendaji huko Lushoto Tanga. Upumbavu kama huu unapatikana Tanzania pekeee
IMG-20241111-WA0028.jpg
 
Siku Rais Samia alipomteua Mchengerwa kuwa Waziri wa TAMISEMI, alimsifia kuwa Mchengerwa ana kifua kipana!! Kila mmoja alitoka na tafsiri yake juu ya kauli hiyo ya Rais Samia. Lakini wengi tulidhania kuwa kifua kipana cha Mchengerwa, japo hatujawahi kukiona, Rais alikuwa akimaanisha uwezo wa Mchengerwa katika kupigania kufanikisha mambo mazuri. Kumbe tulikosea sana.

Yanayoendelea sasa kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaosimamiwa na waziri Mchengerwa, sasa tunapata maana halisi aliyoimaanisha Rais Samia. Kifua kipana cha Mchengerwa, kwa kuzingatia maovu yanayoendelea:

1. Kuandikisha watoto wa shule ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura.

2. Kutoa takwimu za uwongo za watu waliojiandikisha kupiga kura, kama zile za kuonesha wananchi wote wa Dar na Mwanza (rejea takwimu za sensa), mpaka waliokuwa watoto wa chini ya miaka mitano wakati wa sensa, sasa wamejiandikisha kupiga kura.

3) Kuengua wagombea karibu wote wa kutoka vyama vya upinzani.

4) Kuwaambia walioenguliwa wakate rufaa, huku kukiwa na maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi wafunge ofisi, ili wanaokata rufaa, rufaa zao zikose mtu wa kuzipokea,

bila shaka kifua kipana cha Mchengerwa ni katika kusimamia uovu bila aibu wala woga.

Uharamia unaofanyika sasa dhidi ya wagombea wa vyama vya upinzani, ni ule ule wa mwaka 2019. Mwaka ule lawama zote zilikuwa kwa hayati Magufuli, kuwa ndiye aliyelekeza wapinzani wote waenguliwe. Je, huu uharamia wa sasa, ina maana ni maelekezo ya Rais Samia, kupitia huyu Waziri mwanafamilia wake?

Utawala wa Rais Samia, kila mara ulijipambanua ni utawala bora zaidi katika demokrasia na haki kuliko hayati Magufuli, je, huo uzuri ni upi? Wagombea wa upinzani wameenguliwa kama wakati wa Rais Magufuli, wakosoaji wa Rais Samia wametekwa na kupotezwa kama wakati wa hayati Magufuli. Wakati wa hayati Magufuli, mkosoaji mkuu Tindu Lisu alishambuliwa na kunusurika kifo, lakini wakati wa Samia Ali Kibao alitekwa na kuuawa.

Je, huu utawala una jema lipi kuuzidi utawala wa Hayati Magufuli?

Pamoja na tunayomlaumu hayati Magufuli, lakini angalao kuna vitu vizuri alivyovifanya, vipo na vinaonekana.
Mchengerwa ni gaidi ndiyo maana akiwa kwenye shughuli za CCM anavaa ile kofia ya kichina kama aliyokuwa anavaa gaidi Lameck Madelu wakati analipua mabomu kwenye mikutano ya Chadema kule Arusha. Huyu naye tunekwisha kum blacklist ili apigwe ban kama Makonda.
 
Kwa
Mchengerwa ni gaidi ndiyo maana akiwa kwenye shughuli za CCM anavaa ile kofia ya kichina kama aliyokuwa anavaa gaidi Lameck Madelu wakati analipua mabomu kwenye mikutano ya Chadema kule Arusha. Huyu naye tunekwisha kum blacklist ili apigwe ban kama Makonda.
Kweli naungana nawe, kati ya watu wa hovyo kabisa ambao umma unatakiwa kujihadhari naye, ni huyu Mchengerwa. Watu kama Mchengerwa, wanatakiwa watengwe mbali kabisa na uongozi. Anafanya uovu wa ajabu kumfurahisha mkwewe, akiamini anamsaidia na kumlipa fadhila, kumbe anamwangamiza. Leo kila mahali watu wengi hawataki kusikia jina la Samia. Fikiria watu wamefikia mpaka mahali wanatamka kuwa wanaomba, "Mungu aingilie kati'
 
Mungu ataanua ugomvi wetu.
Mungu anaingiaje hapa, wakati alishakupa nguvu, akili, na uwezo!! Hukumsikia Padri Dr Kitima, hakuongelea Mungu kabisa kwenye suala la kuengua wagombea wa vyama vya upinzani!!!
 
Huyo ametumwa tu kukamilisha mission yao ! kuna waliomtuma kusimamia hayuko peke yake na niwaambie ukweli haya ndo maandalizi ya uchaguzi wa 2025 hawa watakaochaguliwa sasa kw a kiasi kikubwa ndo watasimamia uchaguzi wa 2025 hivo kama chama lazima kiwaandae na kijiandae mapema.Uchaguzi wa 2025 unaanza sasa ! Kalagabaho !
 
Siku Rais Samia alipomteua Mchengerwa kuwa Waziri wa TAMISEMI, alimsifia kuwa Mchengerwa ana kifua kipana!! Kila mmoja alitoka na tafsiri yake juu ya kauli hiyo ya Rais Samia. Lakini wengi tulidhania kuwa kifua kipana cha Mchengerwa, japo hatujawahi kukiona, Rais alikuwa akimaanisha uwezo wa Mchengerwa katika kupigania kufanikisha mambo mazuri. Kumbe tulikosea sana.

Yanayoendelea sasa kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaosimamiwa na waziri Mchengerwa, sasa tunapata maana halisi aliyoimaanisha Rais Samia. Kifua kipana cha Mchengerwa, kwa kuzingatia maovu yanayoendelea:

1. Kuandikisha watoto wa shule ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura.

2. Kutoa takwimu za uwongo za watu waliojiandikisha kupiga kura, kama zile za kuonesha wananchi wote wa Dar na Mwanza (rejea takwimu za sensa), mpaka waliokuwa watoto wa chini ya miaka mitano wakati wa sensa, sasa wamejiandikisha kupiga kura.

3) Kuengua wagombea karibu wote wa kutoka vyama vya upinzani.

4) Kuwaambia walioenguliwa wakate rufaa, huku kukiwa na maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi wafunge ofisi, ili wanaokata rufaa, rufaa zao zikose mtu wa kuzipokea,

bila shaka kifua kipana cha Mchengerwa ni katika kusimamia uovu bila aibu wala woga.

Uharamia unaofanyika sasa dhidi ya wagombea wa vyama vya upinzani, ni ule ule wa mwaka 2019. Mwaka ule lawama zote zilikuwa kwa hayati Magufuli, kuwa ndiye aliyelekeza wapinzani wote waenguliwe. Je, huu uharamia wa sasa, ina maana ni maelekezo ya Rais Samia, kupitia huyu Waziri mwanafamilia wake?

Utawala wa Rais Samia, kila mara ulijipambanua ni utawala bora zaidi katika demokrasia na haki kuliko hayati Magufuli, je, huo uzuri ni upi? Wagombea wa upinzani wameenguliwa kama wakati wa Rais Magufuli, wakosoaji wa Rais Samia wametekwa na kupotezwa kama wakati wa hayati Magufuli. Wakati wa hayati Magufuli, mkosoaji mkuu Tindu Lisu alishambuliwa na kunusurika kifo, lakini wakati wa Samia Ali Kibao alitekwa na kuuawa.

Je, huu utawala una jema lipi kuuzidi utawala wa Hayati Magufuli?

Pamoja na tunayomlaumu hayati Magufuli, lakini angalao kuna vitu vizuri alivyovifanya, vipo na vinaonekana.
kifua kipana ni pamoja na kusimamia kikamilifu na kuhakisha kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi vinafuatwa na kuzingatiwa ipasavyo na wagombea uongozi wote katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

wanaotaka waziri afanye kinyume na hayo ni washirikina tu 🐒
 
Siku Rais Samia alipomteua Mchengerwa kuwa Waziri wa TAMISEMI, alimsifia kuwa Mchengerwa ana kifua kipana!! Kila mmoja alitoka na tafsiri yake juu ya kauli hiyo ya Rais Samia. Lakini wengi tulidhania kuwa kifua kipana cha Mchengerwa, japo hatujawahi kukiona, Rais alikuwa akimaanisha uwezo wa Mchengerwa katika kupigania kufanikisha mambo mazuri. Kumbe tulikosea sana.

Yanayoendelea sasa kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaosimamiwa na waziri Mchengerwa, sasa tunapata maana halisi aliyoimaanisha Rais Samia. Kifua kipana cha Mchengerwa, kwa kuzingatia maovu yanayoendelea:

1. Kuandikisha watoto wa shule ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura.

2. Kutoa takwimu za uwongo za watu waliojiandikisha kupiga kura, kama zile za kuonesha wananchi wote wa Dar na Mwanza (rejea takwimu za sensa), mpaka waliokuwa watoto wa chini ya miaka mitano wakati wa sensa, sasa wamejiandikisha kupiga kura.

3) Kuengua wagombea karibu wote wa kutoka vyama vya upinzani.

4) Kuwaambia walioenguliwa wakate rufaa, huku kukiwa na maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi wafunge ofisi, ili wanaokata rufaa, rufaa zao zikose mtu wa kuzipokea,

bila shaka kifua kipana cha Mchengerwa ni katika kusimamia uovu bila aibu wala woga.

Uharamia unaofanyika sasa dhidi ya wagombea wa vyama vya upinzani, ni ule ule wa mwaka 2019. Mwaka ule lawama zote zilikuwa kwa hayati Magufuli, kuwa ndiye aliyelekeza wapinzani wote waenguliwe. Je, huu uharamia wa sasa, ina maana ni maelekezo ya Rais Samia, kupitia huyu Waziri mwanafamilia wake?

Utawala wa Rais Samia, kila mara ulijipambanua ni utawala bora zaidi katika demokrasia na haki kuliko hayati Magufuli, je, huo uzuri ni upi? Wagombea wa upinzani wameenguliwa kama wakati wa Rais Magufuli, wakosoaji wa Rais Samia wametekwa na kupotezwa kama wakati wa hayati Magufuli. Wakati wa hayati Magufuli, mkosoaji mkuu Tindu Lisu alishambuliwa na kunusurika kifo, lakini wakati wa Samia Ali Kibao alitekwa na kuuawa.

Je, huu utawala una jema lipi kuuzidi utawala wa Hayati Magufuli?

Pamoja na tunayomlaumu hayati Magufuli, lakini angalao kuna vitu vizuri alivyovifanya, vipo na vinaonekana.
Baada ya magufuli kuyafanya movu haya hatimaye 17: march 2020 alkufa
 
kifua kipana ni pamoja na kusimamia kikamilifu na kuhakisha kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi vinafuatwa na kuzingatiwa ipasavyo na wagombea uongozi wote katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

wanaotaka waziri afanye kinyume na hayo ni washirikina tu 🐒
Ccm hatutaki ushindani na mtu
Ndo maana tunatumia janja janja kuwaengua wapinzani tubaki wenyewe
 
Ccm hatutaki ushindani na mtu
Ndo maana tunatumia janja janja kuwaengua wapinzani tubaki wenyewe
kwenye kusimamia uchaguzi hakuna cha CCM, upinzani wala fr. kitima.

ni muhimu kuzingati sheria na kanuni za uchaguzi, na sio kutafuta huruma za wananchi 🐒
 
kifua kipana ni pamoja na kusimamia kikamilifu na kuhakisha kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi vinafuatwa na kuzingatiwa ipasavyo na wagombea uongozi wote katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

wanaotaka waziri afanye kinyume na hayo ni washirikina tu 🐒
Na mchawi wa kwanza ni mchengerwa na wahuni wahuni wenzake wanaokata majina ya wagombea wa upinzani bila ya kuzingatia sheria yoyote wala kanuni ndiyo maana wanashindwa kutoa hata sababu na wengine wanaamua kufunga ofisi na kuwakimbia wagombea.

Alaaniwe Mchengerwa na waovu wenzake, na vizazi vyao, kwa maana waovu hawa hawakuwahi kuijua haki , na mioyo yao imetawaliwa na uovu mtupu.
 
kwenye kusimamia uchaguzi hakuna cha CCM, upinzani wala fr. kitima.

ni muhimu kuzingati sheria na kanuni za uchaguzi, na sio kutafuta huruma za wananchi 🐒
Kama unaamini yanayoendelea yana msingi wa kisheria ai kanuni, wewe utakuwa mgonjwa wa akili..

Ebu sema ni kanuni au kifungu gani cha sheria ya uchaguzi kinachosema msimamizi wa uchaguzi anaweza kulikata jina la mgombea bila ya kutaja sababu, na akibanwa anasema ni maelekezo toka juu?

Niambie ni kanuni gani au kifungu gani cha sheria ya uchaguzi kinachotamka kuwa msimamizi wa uchaguzi akikata jina la mgombea bila kutoa sababu, ana uwezo wa kumnyima mgombea fomu ya kukata rufaa, na kisha kufunga ofisi na kwenda kujificha kusikojulikana?

Mchengerwa na hawa watu wake, ni mashetani, na ni majitu yaliyojaa uovu mioyoni mwao.
 
Baada ya magufuli kuyafanya movu haya hatimaye 17: march 2020 alkufa
Kila mtu atakufa, lakini kuna vifo hutokea kwa sababu Mungu wa huruma na haki anataka kuwaokoa watu wanaomlilia kwa dhuluma zinazofanywa na wale wanaojiona hakuna wa kuwafanya chochote.

Pamoja na jitihada nyingine zote za kibinadamu, watu wasichoke kumwomba Mungu kwaajili ya hawa watawala dhalimu. Mungu huyajibu maomba kwa wakati sahihi na kwa namna iliyo bora, kwa kadiri ya hekima yake.
 
Kama unaamini yanayoendelea yana msingi wa kisheria ai kanuni, wewe utakuwa mgonjwa wa akili..

Ebu sema ni kanuni au kifungu gani cha sheria ya uchaguzi kinachosema msimamizi wa uchaguzi anaweza kulikata jina la mgombea bila ya kutaja sababu, na akibanwa anasema ni maelekezo toka juu?

Niambie ni kanuni gani au kifungu gani cha sheria ya uchaguzi kinachotamka kuwa msimamizi wa uchaguzi akikata jina la mgombea bila kutoa sababu, ana uwezo wa kumnyima mgombea fomu ya kukata rufaa, na kisha kufunga ofisi na kwenda kujificha kusikojulikana?

Mchengerwa na hawa watu wake, ni mashetani, na ni majitu yaliyojaa uovu mioyoni mwao.
daima mimi binafsi huwa sibabaiki na mihemko ya yeyote kuhusu ukweli,
hususani mtu ambae kwanza hana sifa za kugombea uongozi, hujajiandikisha kupiga kura, ikimaanisha kwamba wewe si mkazi wa eneo husika 🐒
 
Back
Top Bottom