Na mchawi wa kwanza ni mchengerwa na wahuni wahuni wenzake wanaokata majina ya wagombea wa upinzani bila ya kuzingatia sheria yoyote wala kanuni ndiyo maana wanashindwa kutoa hata sababu na wengine wanaamua kufunga ofisi na kuwakimbia wagombea.
Alaaniwe Mchengerwa na waovu wenzake, na vizazi vyao, kwa maana waovu hawa hawakuwahi kuijua haki , na mioyo yao imetawaliwa na uovu mtupu.