Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Kuna mdau hapa anatuambia Kuna vidonge vinaitwa vega ni hatari kwenye suala zima la kugegeda.
#BiasharaMatangazo.
 
Mleta Uzi jifunze kufanya mapenzi hutaangaika na hayo makitu...huyo mrembo alikuwa anafake orgasm tu kila akikumbuka ile account yako unless otherwise ulimuumiza tu mrembo wa watu.
 
Nyie tumieni tu vumbi/mundende/kasongo alaf iwaharibu kabisa izo nguvu chache mliokonazo alaf nguvu zikiisha kabisa sjui mtafanyaje mana ata ukimuomba mshkaji wako akupunguzie nguvu hawez kukubali mana kila mtu ana kazi nazo sana[emoji23][emoji23]

nikipiga game dakika 20-30 inatosha kabisa wala staki mkongo ili nipige masaa 2?
 
Tatizo hawa jamaa wanaopaka vumbi wakigegeda kwa masaa 5 wanajitengenezea jina, siku kamdada kakikutana na asiyetumia vumbi anamuona bure kabisa kumbe aliyepaka vumbi ndio hana jambo[emoji17]

Mimi naomba wanaopaka vumbi washtukizwe mechi wajichanganye waende pasi na kupaka wapige show mbovu kabisa wanaume tubaki salama, la sivyo vibovu vitaitwa vizima na vizima vitaitwa vibovu
[emoji23]
 
Vumbi halina madhara hata kidogo msirie watu wasiwasi. Hata ukipaka colgate tu na yenyewe inafanya kazi kama vumbi japo efficiency yake ndogo. Ila vumbi ni noma. Mm nimepaka jana nina mech leo
 
Vumbi halina madhara hata kidogo msirie watu wasiwasi. Hata ukipaka colgate tu na yenyewe inafanya kazi kama vumbi japo efficiency yake ndogo. Ila vumbi ni noma. Mm nimepaka jana nina mech leo
[emoji38]
 
Baba mzazi vumbi limeniumbua kaka, nlikubishia nikaliapply nikiwa nimepewa miadi na dem ya kwenda kumla. Sasa ratiba zikaingiliana ikabidi nimwambie tuahirishe, naye hakuws na hiyana maana nlikuwa na external auditors toka ofisi ya cag so nlikuwa kwenye kikaango. Basi bwana nimeshinds nalo nikalala nalo nikaamka nalo sikujihangaisha maana kwa shemeji yenu nishadign out kitambo so huwa sihangaiki naye. Basi mida yaa saasita kesho yake nikawa nishaingia naye room. Tumeandaana taratiiib kama dk45 hivi nikapanda kifuani. Nimepeleka moto dakika zaidi ya 40 bao la kwanza halitoki, mbaya zaidi tanesco nao walifanya yao mji mzima siku hiyo kwa hiuo ilikuwa full kuogeshana majasho. Dem kaloana mm nimeloana. Nikakimbilia bafuni fsster huku mnara unasoma 5g. Nikarudi tukapumnzika km dk 30 huku nikimwandaa kwa round ya 2, nimegonga mechi karibu lisaa tena hola....... hamna wazungu, yaan kitu full ganzi hata raha hamna tena. Ganzi ikaanza kupungua nlivoanza round ya 3 tushasuguana mikao yote hamna bao. Saa ya tatu dem keshapiz vyake vimeishs ndo nasikia kwa mbaaaaaaali utam unakuja na kukata nikaongeza speed baadae wazungu hao.
Nlivochomoa bolo dem dakika tano nyingi aliangisha bonge la usingizi huku amenikumbatia kwa ngivu. Yaan alilala namwambia amka jikupeleke home hata haongei
 
Mahela yote hayo unampa mtoto tunoti tuwili TU?
 
Mleta Uzi jifunze kufanya mapenzi hutaangaika na hayo makitu...huyo mrembo alikuwa anafake orgasm tu kila akikumbuka ile account yako unless otherwise ulimuumiza tu mrembo wa watu.
Karibu nikupakie vumbi
 
Vijanaa wa Sasa tukifikisha miaka 45 kwenda juu wengine watakuwa hawasimamishi kutokana na matumizi makubwa ya haya madawa kwani yanaadhiri sana misuli huifosi kupitisha damu kwawingi mwishowe misuli italegea kabisa na Tutabakia Kuwa wapenzi Watazamaji Tujihadhari sana na hizi dawa za kuboost zitalala yooooo mapemaa sanaaa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…