Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Nazani Cedric Kaze si kocha wa kiwango hiiiicho kama ambavyo inadaiwa. Upangaji wa timu na "Substitution"unamsumbua sana. Leo Yanga wamecheza mpira uliofanya akafukuzwa mara ya kwanza alipokuwa kocha mkuu. Kwenye mapinduzi Cup aliachiwa timu hivi hivi akavurunda kwa timu kucheza ovyo.
Baada ya kocha mkuu kufungiwa mechi hizi 3 alizoachiwa , unaona Yanga ikicheza na makosa mengi ya kiufundi. Km si makosa ya Assistant Referee leo Yanga ingetobolewa bila ubishi.
Timu ilicheza bila mipango hasa kipindi cha pili.All I can say,this is the worst game of the season for Yanga. Very very worst[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Baada ya kocha mkuu kufungiwa mechi hizi 3 alizoachiwa , unaona Yanga ikicheza na makosa mengi ya kiufundi. Km si makosa ya Assistant Referee leo Yanga ingetobolewa bila ubishi.
Timu ilicheza bila mipango hasa kipindi cha pili.All I can say,this is the worst game of the season for Yanga. Very very worst[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]