Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

Nilikuwa nasikiliza kipindi cha sitosahau story ya mji wa Gamboshi katika kusikiliza msimuliaji akalitaja eneo moja linaitwa Bermuda triangle ambalo linasemekana ndio makau makuu ya Gamboshi hapa duniani na eneo linaloogopeka zaidi hapa duniani ila hakulielezea kiundani zaidi

Hivyo kwa wale wanaofahamu kuhusu Bermuda triangle hebu karibuni mtuelezee kiundani zaidi kuhusu hili eneo ambalo linasemekana ndio makao makuu ya Gamboshi hapa duniani
 
Nilikuwa nasikiliza kipindi cha sitosahau story ya mji wa Gamboshi katika kusikiliza msimuliaji akalitaja eneo moja linaitwa Bermuda triangle ambalo linasemekana ndio makau makuu ya Gamboshi hapa duniani na eneo linaloogopeka zaidi hapa duniani ila hakulielezea kiundani zaidi

Hivyo kwa wale wanaofahamu kuhusu Bermuda triangle hebu karibuni mtuelezee kiundani zaidi kuhusu hili eneo ambalo linasemekana ndio makao makuu ya Gamboshi hapa duniani
Gamboshi sasa inakuzwa mpaka kufananisha na Bermuda? Jamani tembelee hapo Congo ndani ndani huko unaweza sahau habari za Gamboshi.
 
Bermunda triangle nie eneo la bahari ya Atlantic lililopo kusini Mashariki mwa Jimbo la frolida Marekani, inasemekana eneo Hilo limetawaliwa na nguvu za kishetani , taarifa zinasema mamia ya ndege pamoja na meli zimewahi kupotelea katika eneo Hilo katika mazingira ya kimiujiza na kutatanisha ....

Marubani na makapteni hushauriwa kulikwepa hlo eneo kadri iwezekanavyo...
 
Bermunda triangle nie eneo la bahari ya Atlantic lililopo kusini Mashariki mwa Jimbo la frolida Marekani, inasemekana eneo Hilo limetawaliwa na nguvu za kishetani , taarifa zinasema mamia ya ndege pamoja na meli zimewahi kupotelea katika eneo Hilo katika mazingira ya kimiujiza na kutatanisha ....

Marubani na makapteni hushauriwa kulikwepa hlo eneo kadri iwezekanavyo...
Ni eneo lenye chunusi
Zanzibar pia lipo karibu na Pemba,mito mingi pia huwa na maeneo Kama hayo.Mito yote huwa nayo Kuna marine spirits au majini ya maji
 
Nenda youtube kamsikilize mtiga abdallah mtangazaji wa wasafi fm ktk kipindi cha story book
Au huyo huyo jamaa anaitwa zabron kasachi page yake fb kaiweka hiyo story book.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unayejua zaidi au kufahamu kuhusu eneo hili unijuze nami nifahamu, huwa nasikia kitaa lakini bado sijajua kiuhakika.

Karibuni.
FB_IMG_1609733976708.jpg
 
Ni bermuda triangle, nasikia meli ikipita karibu na hapo inaloose control, inaweza kuzunguka hapo siku tatu ndio ipite. Ukitoka hapo hata akili zinakuwa hazipo sawa kama za kitoto hivi. Mtoto wa waziri mkuu mstaafu bonge bonge hivi amewahi kukatiza hapo.
 
Ni bermuda triangle, nasikia meli ikipita karibu na hapo inaloose control, inaweza kuzunguka hapo siku tatu ndio ipite. Ukitoka hapo hata akili zinakuwa hazipo sawa kama za kitoto hivi. Mtoto wa waziri mkuu mstaafu bonge bonge hivi amewahi kukatiza hapo.
lemutuz pita huku Kuna kagitaa kazuri kanapigwa, naamini utayamwaga mauno kama yote
 
Back
Top Bottom