Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

REVEALED: The truth about the mysterious Bermuda Triangle where boats and planes vanish
FOR years it has been one of the world's greatest mysteries - why have so many boats and planes been lost forever within the Bermuda Triangle?
By Jon Austin
PUBLISHED: 13:50, Wed, Mar 16, 2016 | UPDATED: 13:57, Wed, Mar 16, 2016

fb.png


tw.png


g-plus.png


m.png


sh.png

Moja ya vitu vinavyoweza kukuthibitishia kuwa kinachotokea Bermuda triangle ni masuala tu ya kawaida ya kijografia,wala sio uchawi au miujiza

c.png

13

Bermuda-Triangle-652734.jpg
GETTY

Hundreds of boats and planes have been lost to the mysterious triangle
The disappearances in the infamous region has repeatedly been blamed on the paranormal - with suggestions it could be a vortex to another dimension which has transported the poor souls on board away from our universe.

But now scientists believe there could be a much more Earthly, and provable explanation, for the legend also known as the Devil's Triangle.

Researchers have found huge undersea craters which could be tell-tale signs on why vessels went missing and were possible blown to smithereens, to end up at the bottom of the sea.

The up to half-mile-wide and 150ft deep craters in the Barents Sea are thought to have been caused by a build-up of methane.

Bermuda-Map-489702.jpg
NOASA

This graphic shows the vast extent of the triangle
Related articles
They are just off the Norweaigan coast - a country rich in natural gas reserves.

Methane is likely to have leaked from deposits of natural gas deeper below the sea bed, then created cavities which eventually burst, once the pressure gets too high, the scientists said.

This would lead to a massive blow up of gas, which could cause a boat or ship to fail if it was passing at the height of the explosion.

Russian scientist Igor Yeltsov, deputy head of the Trofimuk Institute, said: "There is a version that the Bermuda Triangle is a consequence of gas hydrates reactions.

Bermuda-Boat-489704.jpg
GETTY

Has the mystery of the missing boats and planes finally been solved?
Bermuda: Drone footage captures Norwegian Dawn cruise ship stuck on Bermuda reef
Related articles

"They start to actively decompose with methane ice turning into gas.

"It happens in an avalanche-like way, like a nuclear reaction, producing huge amounts of gas.

"That makes the ocean heat up and ships sink in its waters mixed with a huge proportion of gas.

"The crater area is likely to represent one of the largest hotspots for shallow marine methane release in the Arctic."

Hundreds of boats and planes have been lost within and just outside the triangle since Christopher Columbus was the first to record its existence, noting his ship's compass stopped working and he saw a fireball in the sky
Masuala yepi ya kijiografia na wakati wanasema bado hawajaweza kujua kuna nini pale na tafiti nyingi zimefanyika lakini hadi leo hakuna jibu sahihi kwamba what actually hua kinatokea pale ...hayo masuala ya kijiografia ndo yanapoteza ndege au meli?
 
Masuala yepi ya kijiografia na wakati wanasema bado hawajaweza kujua kuna nini pale na tafiti nyingi zimefanyika lakini hadi leo hakuna jibu sahihi kwamba what actually hua kinatokea pale ...hayo masuala ya kijiografia ndo yanapoteza ndege au meli?
kwa nini isiwezekane labda,au unaamini pana wachawi hapo?
 
kwa nini isiwezekane labda,au unaamini pana wachawi hapo?
Siamini kama pana uchawi lakini uchawi upo duniani nikueleze tu kama ulikua hujui,
so far hakuna ambaye anajua kwamba hapo pana nini
na bado kuna tafiti zinaendelea, kilichobaki ni just random facts ..
kwani kuna mtu anajua for sure ndege za malaysia zipo wapi ama zilipatwa na nini? Au mtasema sababu za kijiografia
 
Mkuu ulienda lini kuchunguza
sijaenda mkuu ila logically inaniingia akilini,si kila sehemu baharini inaweza kupitika hasa kulingana na nature ya mawimbi nk ila watu wanalazimika kupitia hapo kwa kuwa kijiografia tuusehemu ilipo hawana budi kupita,sehemu kukiwa na shimo kubwa kwenda chini iwe baharini au nchi kavu hyo sehemu lazima itakuwa na upepo mkali sna unaoingia humo kwa kuzunguka,au kama ni bahari itakuwa na mawimbi makali sana yanayozunguka kiasi kwamba ili nguvu ya pale inaweza kukivuta hata kitu ambacho kinapita around maeneo yale,kama ni mtu akitumbukia humo uwezekano wa kuona hata maiti yake ni mdogo,nakumbuka wakati wadogo mtoni tulikuwa tunaambiwa hapo kuna chunusi linabeba watu nk,si kweli ni nguvu ya uvutano iliyoko pale
 
mbona ni pembe tatu kubwa sana ...au hio bermuda iko kwenye ile mistari tu na sio ndani ya ile pembe tatu
Ni kubwa lakini kama nlivokuambia labda wanapita pembeni kufika sehem nyingine zilizopo bermuda na visiwa vingine lakini sio ndani ya ile PEMBE TATU
 
Siamini kama pana uchawi lakini uchawi upo duniani nikueleze tu kama ulikua hujui,
so far hakuna ambaye anajua kwamba hapo pana nini
na bado kuna tafiti zinaendelea, kilichobaki ni just random facts ..
kwani kuna mtu anajua for sure ndege za malaysia zipo wapi ama zilipatwa na nini? Au mtasema sababu za kijiografia
sikatai ila kuna mambo mengi sana yanaweza tokea nje ya ushirikina,mengine ni reasonable kabisa,hivi kuna kitabu kinahusu maajabu yaliyotokea hapo Bermuda na mimi nikisome maana nimejaribu kukitafuta sijakipata,kuna mambo mengi sana yanatokea now hayajawa proven kisayansi ila as we go tutakuja kupata jibu so ni mapema sana ku conclude kuwa pale ni ushirikina
 
Ni kubwa lakini kama nlivokuambia labda wanapita pembeni kufika sehem nyingine zilizopo bermuda na visiwa vingine lakini sio ndani ya ile PEMBE TATU
kwa pale bermuda ilivyo lazima upite pale ndio maana wanashindwa kuto ipita wakaiacha na hayo mambo yake ndio maana nimekwambia ni geographical location ya pale.meli na ndege lazima zipite hapo,kilakitu kina eneo lake maalumu la kupita ndege au meli
 
tusilishwe maneno sana na tuyakubali kama yalivyo.

siku hizi kuna ndege zisizo endeshwa na rubani kwanini yasifanyike majaribio kuzipitisha hapo huku zikifuatiiwa na camera ili tuoate raw footage ya kitakacho tokea?
think out of the box
 
sijaenda mkuu ila logically inaniingia akilini,si kila sehemu baharini inaweza kupitika hasa kulingana na nature ya mawimbi nk ila watu wanalazimika kupitia hapo kwa kuwa kijiografia tuusehemu ilipo hawana budi kupita,sehemu kukiwa na shimo kubwa kwenda chini iwe baharini au nchi kavu hyo sehemu lazima itakuwa na upepo mkali sna unaoingia humo kwa kuzunguka,au kama ni bahari itakuwa na mawimbi makali sana yanayozunguka kiasi kwamba ili nguvu ya pale inaweza kukivuta hata kitu ambacho kinapita around maeneo yale,kama ni mtu akitumbukia humo uwezekano wa kuona hata maiti yake ni mdogo,nakumbuka wakati wadogo mtoni tulikuwa tunaambiwa hapo kuna chunusi linabeba watu nk,si kweli ni nguvu ya uvutano iliyoko pale
Embu tafuta online uonekama wanasayansi washalidhibitisha hilo na kwamba mjadala umefungwa
halafu uje u share na jamii intelligence
 
mp
Embu tafuta online uonekama wanasayansi washalidhibitisha hilo na kwamba mjadala umefungwa
halafu uje u share na jamii intelligence
aka naandika hivi nimesoma tayari na nimekupa baadhi ya facts za wanasayansi sasa sijui unataka ni kuwa ni masuala ya kishirikina but kuamini kuwa ni ushirikina hakutufanyi tushindwe kufanya tafit
 
Kwa wale wanaopenda kujua matukio mbalimbali, basi watakuwa wanaifahamu vyema historia ya bermuda triangle.


Tangu mwaka 1945, zaidi ya meli 100 zimeshazama na vifo vya watu zaidi ya 1,000 vimeshatokea katika eneo hili ambalo ni maarufu sana kwa vyombo vya safari kupita. Pia ni eneo ambalo linasifika sana kwa kubadilika kwa hali ya hewa kwa haraka na bila kutarajiwa.


Matukio mengi yalitokea katika kipindi cha miaka ya 1940 - 1960, nayo yalihusu upoteaji wa kiajabu wa vyombo vya usafiri hasa ndege na meli.


Mwaka 1944, Dick Stern alikuwa anaruka na ndege ya kivita eneo hili, ghafla ilipoteza uelekea kwa muda na ikawa inaelekea kuanguka Bahari ya Atlantiki, lakin baadaye iliweza kutulia yeneyewe na kuendelea na safari vizuri. Na katika miaka ya 60 alipita tena eneo hilo akiwa na mkewe katika ndege ya kawaida wakapata msukosuko mkubwa.


Kwenye miaka ya 1945, 1958, 1964 na 1967 kuna ndege zilipotea tena katika eneo hilo ambapo mabaki yake hayakuweza kupatikana kabisa. Kuna baadhi ya marubani ambao waliwahi kuripoti kabla ya kupotea au kuokoka kwamba rada zao zilikupoteza uelekeo na kiasi kwamba wakashindwa kujua wako wapi, kuna mmoja aliripoti kuongezeka kwa kasi ya kwenda kwa ndege na kila kitu kikapoteza control, na baadaye vikarudi sawasawa.



Pia kuna rubani mmoja wa ndege ndogo alitaka kutua eneo hilo, lakini alipofika sehemu aliyotaka kutua, hakuiona ilhali watu waliokuwa chini walikuwa wanamuona na kumshangaa akizunguka tu hewani na kisha kuondoka. Baadaye alikiri kuzunguka juu baada ya kutokuona sehemu aliyotaka kutua wakati compass yake ilimuonyesha ameshafika.



Meli amabazo zimekumbwa na misuko sehemu hiyo zimekuwa zikiripotiwa kukutana na mvutano wa ajabu wa kwenda chini na mwishowe kuzama, au kukutana na machafuko ya bahari ya ghafla.


Kuna baadhi ya wafanyakazi wa meli walio okolewa waligeuka na kuwa vichaa!


Kituko cha funga dimba ni kile kilichoripotiwa mwaka 1967 kutoka kwa watu waliokuwa kwenye meli ya Elizabeth I pale waliposhuhudia ndege ndogo ikiwa mita chache kutoka walipo ikipotea ghafla ikiwa inaruka!!!!


Maajabu makubwa ambayo tutayaongelea, KWANZA ni kupotea kwa ndege nyingi ambazo zimepita katika anga la eneo hilo PILI ni kupotea kwa meli nyingi zinazopita katika eneo hilo. na kubwa zaidi ni kutopatikana kwa taarifa yoyote kuhusu mahali ambapo meli na ndege hizo huelekea baada ya kupotea. Swali kubwa linalozuka ni Je ninini chanzo kikubwa cha kupotea kwa vyombo hivyo? kwa miaka mingi iliyopita chanzo chake hakikujulikana, lakini katika uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na kituo kikubwa ulimwenguni cha uchunguzi wa anga NASA, inahisiwa kuwa eneo hilo limezungukwa na nguvu za usumaku zinazofanya kutokea kwa nguvu kubwa ya uvutano inayovuta kitu chochote kinachopatikana eneo hilo au katika anga la eneo hilo

Pia inahisiwa kuwa katika eneo hilo kuna kemikali ya METHANE iliyoyeyuka na kuchangamana na maji hayo jambo linalofanya maji ya eneo hilo kutokuwa na uwezo wa kuhimili uzito wa meli katika eneo hilo, swali ni je kuna uhusiano gani kati ya upotevu wa ndege na uwepo wa kemikali katika maji..

Jamani hili eneo hadi wameliita pembe tatu ya shetani au mlango wa kuzimu kuna nini hapa panapopelekea hadi meli na ndege kubwa kuzama na zaidi zikizama hazijulikani zinaenda wapi,? Mara hii sehemu tunaambiwa ALIENS wanakaa eneo hili kwaio sababu wao wana teknolojia isiyoweza kushindanishwa na za huku duniani wanasema inawezekana pia kitu chochote kinachopita eneo.hilo kinashindwa kuhimili hio nguvu ya teknolojia yao kwaio inapelekea wao kuzichukua kwa sababu zao au kuzitokomeza.

View attachment 657810
kuwa pembe tatu.ilipewa jina hilo kwa kutokana na mazara ya njia basi njia hizo zilizo wekwa pembe tatu ndio utakazo pita kufata masharti.kama utapata ramani inayo onyesha njia za meli zinazo takiwa meli zipite na hapo utaona njia hiyo ndiyo imeweka hivo
 
Hua naogopa kuchangia mada kama hizi sababu unakuta mleta mada conspiracy theorist anataka watu wachangie anachokiamini ila sio ukweli wa mambo. Hakuna cha uchawi wala devil blah blah pale. Meli zinapita hilo eneo daily na ndiyo sehemu inaongoza, kua na ajali chache mnashangaa, na ajali nyingi zimetungwa hazikutokea. Ni ka kariakoo watu kibao alafu watu waibiwe ukae kusema kuna mchawi kariakoo. Sehemu inayoongoza kwa population 0.1% kupatwa na kitu kibaya sio uchawi, its just statistics.
 
mp

aka naandika hivi nimesoma tayari na nimekupa baadhi ya facts za wanasayansi sasa sijui unataka ni kuwa ni masuala ya kishirikina but kuamini kuwa ni ushirikina hakutufanyi tushindwe kufanya tafit
Hahaha siongelei mambo ya ushirikina naona umekazania huko na mind you hizo ni myths tu za watu tofauti tofauti ukweli kwamba hatujajua nini kipo pale for sure, tunalishwa maneno na zaidi kuna mdau hapo kasema marekani wana teknolojia kubwa na pengine wana ndege na drones zisizotumia rubani, sasa inakuaje wanashindwa kua na say moja kwamba hapo kuna nini mana kila mtu anakuja na tafiti zake na nadhan pia hata wewe utakua umesoma moja kati ya maelfu ya tafiti..nionyeshe link uliposoma hizo sababu za kijiografia ...
 
Hahaha siongelei mambo ya ushirikina naona umekazania huko na mind you hizo ni myths tu za watu tofauti tofauti ukweli kwamba hatujajua nini kipo pale for sure, tunalishwa maneno na zaidi kuna mdau hapo kasema marekani wana teknolojia kubwa na pengine wana ndege na drones zisizotumia rubani, sasa inakuaje wanashindwa kua na say moja kwamba hapo kuna nini mana kila mtu anakuja na tafiti zake na nadhan pia hata wewe utakua umesoma moja kati ya maelfu ya tafiti..nionyeshe link uliposoma hizo sababu za kijiografia ...
kila siku teknolojia inakuwa so sio kwa kuwa watu wameshindwa kujua leo basi hawataweza kujua na kesho
 
Back
Top Bottom