Hii ndiyo sababu wale wezi waliotundikwa na Yesu walivunjwa miguu

Hii ndiyo sababu wale wezi waliotundikwa na Yesu walivunjwa miguu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Inasemwa kuwa mtu akitundikwa huwa anatumia miguu yako kujunyanyua juu anapopumua. Sasa ili kuwafanya wafe haraka ilikuwa ni kawaida kuwavunja miguu ili washindwe kupumua vizuri na kufa mapema.

Karibu watu wote waliotundikwa walifanyiwa hivi. Lakini walipofika kwa Yesu wakakuta tayari ameshakufa hivyo hakukuwa na haja ya kumvunja miguu. Hapo utimizo wa unabii kuwa hakuna mfupa wake utavunjwa ukatimia.
1102014732_univ_lsr_md.jpg
 
Mi nashangaa sana watu wa dini walivyo na utabaka

Ukisoma mafundisho pamoja na historia ya kifo cha yesu hata kupitia ile movie inaonesha Yesu na watu wengine wawili wakisulubiwa msalabani

Lakini pamoja na hayo yote bado yesu ndio anakuwa considered kama ni mtu aliyeteswa sana kiasi cha hao wengine kusahulika au umuhimu wao usionekane kabisa.

Katika jicho la sadaka mi naona hawa wawili ndio malegend, kwasababu gani nasema hivyo

Nikwasababu sadaka ni ile iliyokufa ikaisha ikiwa mfu, sasa huyu Yesu tunaambiwa alifufuka.

Tena hata hakuwa na uvumilivu kukaa siku nyingi, ni baada ya siku tatu tu akafufuka.

Hiyo ni sadaka ya namna gani?

Umechinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka, baada ya siku mbili unaiona inakatiza road hiyo ni sadaka mazee?
 
Mi nashangaa sana watu wa dini walivyo na utabaka

Ukisoma mafundisho pamoja na historia ya kifo cha yesu hata kupitia ile movie inaonesha Yesu na watu wengine wawili wakisulubiwa msalabani

Lakini pamoja na hayo yote bado yesu ndio anakuwa considered kama ni mtu aliyeteswa sana kiasi cha hao wengine kusahulika au umuhimu wao usionekane kabisa.

Katika jicho la sadaka mi naona hawa wawili ndio malegend kwasababu gani nasema hivyo

Nikwasababu sadaka ni ile iliyokufa ikaisha ikiwa mfu, sasa huyu Yesu tunaambiwa alifufuka.

Tena hata hakuwa na uvumilivu kukaa siku nyingi, ni baada ya siku tatu tu akafufuka.

Hiyo ni sadaka ya namna gani?

Umechinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka, baada ya siku mbili unaiona inakatiza road hiyo ni sadaka mazee?
Nimecheka sana!
Anyways bora niamini alifufuka sipotezi kitu.
 
Mi nashangaa sana watu wa dini walivyo na utabaka

Ukisoma mafundisho pamoja na historia ya kifo cha yesu hata kupitia ile movie inaonesha Yesu na watu wengine wawili wakisulubiwa msalabani

Lakini pamoja na hayo yote bado yesu ndio anakuwa considered kama ni mtu aliyeteswa sana kiasi cha hao wengine kusahulika au umuhimu wao usionekane kabisa.

Katika jicho la sadaka mi naona hawa wawili ndio malegend kwasababu gani nasema hivyo

Nikwasababu sadaka ni ile iliyokufa ikaisha ikiwa mfu, sasa huyu Yesu tunaambiwa alifufuka.

Tena hata hakuwa na uvumilivu kukaa siku nyingi, ni baada ya siku tatu tu akafufuka.

Hiyo ni sadaka ya namna gani?

Umechinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka, baada ya siku mbili unaiona inakatiza road hiyo ni sadaka mazee?
Utofauti wake Ni kwamba wale wawili walikuwa ni waharifu kweli, kwahiyo walistahili Hukumu kwa mujibu wa sheria.
 
Utofauti wake Ni kwamba wale wawili walikuwa ni waharifu kweli, kwahiyo walistahili Hukumu kwa mujibu wa sheria.
Kwa hiyo wale wasulubishaji walisema hawa wawili ni wahalifu ila huyu hana hatia na tunamsulubisha hivyo hivyo?

Au hao watesaji walimhesabu yesu naye kama mhalifu ila ni nyinyi tu mnaona hawakuwa sahihi kwasababu zenu binafsi?
 
Kanisa Katoliki linamheshimu mmoja kati ya hao wezi anaitwa Dismas (St. Dismas) alitangazwa Mtakatifu.Yule Yesu alimwambia Amini nakuambia Usiku huu wa Leo Utakuwa nami peponi.
 
Mi nashangaa sana watu wa dini walivyo na utabaka

Ukisoma mafundisho pamoja na historia ya kifo cha yesu hata kupitia ile movie inaonesha Yesu na watu wengine wawili wakisulubiwa msalabani

Lakini pamoja na hayo yote bado yesu ndio anakuwa considered kama ni mtu aliyeteswa sana kiasi cha hao wengine kusahulika au umuhimu wao usionekane kabisa.

Katika jicho la sadaka mi naona hawa wawili ndio malegend kwasababu gani nasema hivyo

Nikwasababu sadaka ni ile iliyokufa ikaisha ikiwa mfu, sasa huyu Yesu tunaambiwa alifufuka.

Tena hata hakuwa na uvumilivu kukaa siku nyingi, ni baada ya siku tatu tu akafufuka.

Hiyo ni sadaka ya namna gani?

Umechinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka, baada ya siku mbili unaiona inakatiza road hiyo ni sadaka mazee?

Sasa mkuu hujaona mfano mwengine wa kutoa zaidi ya huo wa ng'ombe unaochekesha.
 
Inasemwa kuwa mtu akitundikwa huwa anatumia miguu yako kujunyanyua juu anapopumua. Sasa ili kuwafanya wafe haraka ilikuwa ni kawaida kuwavunja miguu ili washindwe kupumua vizuri na kufa mapema.

Karibu watu wote waliotundikwa walifanyiwa hivi. Lakini walipofika kwa Yesu wakakuta tayari ameshakufa hivyo hakukuwa na haja ya kumvunja miguu. Hapo utimizo wa unabii kuwa hakuna mfupa wake utavunjwa ukatimia.
View attachment 2188551
naomba fafanuwa tena mimi sijaelewa vema.Samahani
 
Ref:
History of crucification
More than carpenter

Humo utapata kwa kina. Walikuwa wanatundikwa kiasi kwamba pafu linafunga kuingiza hewa hadi unyooshe goti mapafu yafunguke uvute pumzi. Ndio maana inawezekana haya mchoro wa msalaba tunaotumia unaweza kuwa ni tofauti.

Ulipaswa kuwa kama kipago cha manati. Kiongezewe tu sehemu ya kichwa ndio wazo la usurubishwaji linakaa vzr.

Na huu ni ushahidi pia Yesu alikuwa kapingwa sana. Maana ule mjeredi ulikuwa ukikunasa unaondoka na gram kadhaa za nyama. Kunauwezekano Yesu alisurubiwa wakati sehemu ya mbavu na utumbo ikiwa nje.

Huwezi kuact Movie ya mateso ya Yesu ni kinyume na haki za binadamu.

Ndio maana alikufa mapema kuliko wale wezi wawili. Maana yeye alikuwa amepaniwa. Shtaka lake lilikuwa ni kubwa sana. Shtaka la uhaini.
 
Hivi ni kwanini mateso ya huyo wa katikati yaonekane mazito na yenye maana zaidi kuliko ya wengine hata hao wa pembeni yake? Kwani adhabu ya mwizi ndio hiyo kimantiki? Wote wameteswa zaidi ya stahiki zao, hata kwa akili ya kawaida tu
 
Kwa hiyo wale wasulubishaji walisema hawa wawili ni wahalifu ila huyu hana hatia na tunamsulubisha hivyo hivyo?

Au hao watesaji walimhesabu yesu naye kama mhalifu ila ni nyinyi tu mnaona hawakuwa sahihi kwasababu zenu binafsi?
Kujiita mfalme kwenye himaya ya mfalme ni uhaini, hilo ni kosa kwa maoni yangu, na ni uhaini
 
Kujiita mfalme kwenye himaya ya mfalme ni uhaini, hilo ni kosa kwa maoni yangu, na ni uhaini
Wapo wanaosema alihukumiwa kwa kosa la wizi wa mbao

Afu Ukizingatia jamaa alikuwa seremala unaona kabisa hii kitu ina relate kabisa
 
Back
Top Bottom