Ufunuo unatimia, mwenye masikio naasikie.Taratibu watachanja wote kuna sehemu za huduma kama migahawa, hospital na maeneo mbalimbali wameanza kuweka restrictions bila cheti cha chanjo hupati huduma.
Endeleeni na hizo akili za kinjekitile wa chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufunuo unatimia, mwenye masikio naasikie.Taratibu watachanja wote kuna sehemu za huduma kama migahawa, hospital na maeneo mbalimbali wameanza kuweka restrictions bila cheti cha chanjo hupati huduma.
Endeleeni na hizo akili za kinjekitile wa chato.
Wachanje wenyewe huko na virusi vyao vinavyobadilika kila mweziHilo linawezekana nchi tajiri, Tanzania wanaofanya kazi rasmi hawafiki hata 30%, unawezaje kumlazimisha/shinikiza bodaboda tu kwa mfano adungwe kama hataki? Vipi Mmasai mfugaji huko ?
Hakika umenenaUfunuo unatimia, mwenye masikio naasikie.
Mama piga kazi ,uwozo wote uliokuta usikubali kuubeba hata kidogoMsimamo wa Magufuli juu corona unaeleweka, hizi sarakasi zote zinazoendelea ni kuwatayarisha kisaikolojia kuhusu linalokuja, nalo ni Chanjo ya lazima kwa wote, na jinsi watakavyofanya ni unpopular jambo ambalo litawafanya wasiopenda chanjo wamkumbuke Magufuli.
Kuna sababu kwa nini JWTZ waliitisha Kikao na Waandishi wa Habari, ambacho hakikueleweka.
Jiandaeni, …
Wachanje wenyewe huko na virusi vyao vinavyobadilika kila mwezi
Haitokaa itokee!Utafanyaje kama wakisema ni lazima ?
Tafuta hela Tanzania kila kitu kinawezekana ukiwa na helaKubaki na msimamo kuto chanjwa na hii itafanikiwa zaidi kujiandaa kujiajiri mwenyewe.
Ukiishi kwa kutegemea ajira kuna hatari ya kutii Amri ya Mnyama na kupokea Chanjo.
Kufa utakufa tu uchanjwe au usichanjwe.Watachanja wazembe,sifanyiwi majaribio
Wasalimie machame!Too low.
... zee katili sana lile. Mimi sio wa vyeti feki dogo.Wa ajabu kivipi sasa watu wanaojielewa wanamheshimu sumbuse wewe ngurumbili uliyetumbuliwa vyeti feki
Wenzenu wanafanya hivyo kutengeneza pesa kwa kuuza chanjo zao. Nyie mnakomaa mnahisi kuuliwa/kuzuiwa kuzaa,.......... Siyo wajinga waue soko Lao au walidhuru kwa namba yoyote hasi.Kwanini iwe lazima? Kuna nini hasa na hiyo Corona mpaka iwe lazima?
Waambie wapeleke ujinga wao huko