Hii ndiyo Simba itakayo muua Casablanca Jumamosi

Hii ndiyo Simba itakayo muua Casablanca Jumamosi

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,490
Reaction score
8,227
Amani ya bwana iwe nanyi wana wa MUNGU.

Kuelekea mechi dume jumamosi, mechi ambayo kila mtanzania anaisubiri kwa hamu, mechi ambayo kila mwafrika mpenda soka anaamini raja casablanca anenda kupata mateso makali kwa mkapa jumamosi, mechi ambayo hata watani wanaamini mwarabu ameyakanyaga

Basi napenda jumamosi akutane na ile simba ilomfanya kocha wa kaizer chief aone muda unaenda kwa speed ya kinyonga, simba ambayo inakushambulia muda wote, simba ambayo mo husein akikamata bali anakuja kwa nguvu, ile ambayo kapombe akipewa kabumbu anakufata mpaka ukome, simba ambayo chama akipewa gozi, wanasimba wote wanapata raha duniani na utukufu mbinguni, simba ile miquisone{sakho} akipewa kandanda unatoa jicho kuona wangapi watafungashwa tela, ambayo ilimpiga vita club manne pamoja na kamati pendwa ile ya mapokezi

Naitamani morali ile ya wachezaji kushambulia muda wote kama ile vita club anakufa 2-1 kwa mkapa, hakika itapendeza na hawa waarabu watatuambia kama ni waafrika ama waamerika, mwanakulitaka...?
 
Mkuu Simba mwenzangu hapa tunapenyaje?

Maana data zote zinaonesha tushauawa kabla hata mpira haujaanza.

Yani tukitoa draw nahesabu ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia mkuu kwa yale mambo yetu ya kiswahili yanayopelekea uwanja kulindwa na makomandoo, mwarabu j mosi atapata kilichompata al ahly mwaka juzi.
 
Mkuu Simba mwenzangu hapa tunapenyaje?

Maana data zote zinaonesha tushauawa kabla hata mpira haujaanza.

Yani tukitoa draw nahesabu ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa na imani mkuu tutatoboa japo mm pia nina wasiwasi na hi game ambyo kwangu naona game kubwa sanaa
 
Amani ya bwana iwe nanyi wana wa MUNGU.

kuelekea mechi dume jumamosi, mechi ambayo kila mtanzania anaisubiri kwa hamu, mechi ambayo kila mwafrika mpenda soka anaamini raja casablanca anenda kupata mateso makali kwa mkapa jumamosi...
Simba mmeyakanyaga kwa kupanda mtumbwi wa vibwengo. Yaani mnaenda kupigwa kama ngoma.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Simba mmeyakanyaga kwa kupanda mtumbwi wa vibwengo. Yaani mnaenda kupigwa kama ngoma.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Weewe? Ngoja uone mnyama atavyoifurahisha nchi! Bahati mbaya kabisa jumapili uto mtaharibu tena, kwanini msingeanza jumamosi kutia aibu, then jumapili mnyama awafurahishe?
 
Sasa hivi wanapiga kelele kama kawaida yao, "kwa mkapa hayoki mtu".

Mechi ikiisha Jmos, utasikia "mpira una matokeo matatu, tutashinda mechi zijazo".

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Acheni kujipa moyo makolo, mtapigwa mchakae!
 
Nakwambia mkuu kwa yale mambo yetu ya kiswahili yanayopelekea uwanja kulindwa na makomandoo, mwarabu j mosi atapata kilichompata al ahly mwaka juzi.
Endekezeni hayo mambo ya kuota moto viwanjani, mkasahau kuwasoma technically muone mtakavyo pasuka.
 
Endekezeni hayo mambo ya kuota moto viwanjani, mkasahau kuwasoma technically muone mtakavyo pasuka.
Kama ambavyo uto mtakojozwa mara baada ya vichawi vyenu kuzidiwa ujanja kuupata uwanja ili viufanyie ulozi
 
Kama ambavyo uto mtakojozwa mara baada ya vichawi vyenu kuzidiwa ujanja kuupata uwanja ili viufanyie ulozi
Nyie wenzetu makolo si mnamini katka hayo mambo ndio maana hamchagui sehemu hata ugenini mbele ya kadamnasi mnafanya mambo yenu,sisi tutacheza mpira tuna amini ktk uwezo wa wachezaji wetu.

Hayo mengine tumewaachia nyinyi wazee wa kuota moto katikati ya uwanja.
 
Mkuu Simba mwenzangu hapa tunapenyaje?

Maana data zote zinaonesha tushauawa kabla hata mpira haujaanza.

Yani tukitoa draw nahesabu ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwan umeshasahau kilichokuwa kinamkuta Al Ahly?
 
Nyie wenzetu makolo si mnamini katka hayo mambo ndio maana hamchagui sehemu hata ugenini mbele ya kadamnasi mnafanya mambo yenu,sisi tutacheza mpira tuna amini ktk uwezo wa wachezaji wetu...
Ushindi mbele, viongozi tuliowachagua kuendesha timu yetu wanashughulika timu ipate inachotaka, wewe huoni licha ya azam kufanya usajili wa nguvu lakini mpaka sasa wapo nafasi ya 4 ya msimamo wa ligi kuu kwa kukosa viongozi wafia timu ka makolo na uto? Ushindi muhimu.
 
Back
Top Bottom