Mkuu unaelewa Morocco ni namba 11 katika FIFA Men's Football Rankings sasa hivi?kwan umeshasahau kilichokuwa kinamkuta Al Ahly?
Acha wajipe false hopes!Mkuu unaelewa Morocco ni namba 11 katika FIFA Men's Football Rankings sasa hivi?
Na Egypt ni 39.
Na Tanzania ni 130.
Ranking Template > Men's Ranking - EN
See latest status of the FIFA-Coca Cola Men's World Rankingwww.fifa.com
Amani ya bwana iwe nanyi wana wa MUNGU.
Kuelekea mechi dume jumamosi, mechi ambayo kila mtanzania anaisubiri kwa hamu, mechi ambayo kila mwafrika mpenda soka anaamini raja casablanca anenda kupata mateso makali kwa mkapa jumamosi, mechi ambayo hata watani wanaamini mwarabu ameyakanyaga
Basi napenda jumamosi akutane na ile simba ilomfanya kocha wa kaizer chief aone muda unaenda kwa speed ya kinyonga, simba ambayo inakushambulia muda wote, simba ambayo mo husein akikamata bali anakuja kwa nguvu, ile ambayo kapombe akipewa kabumbu anakufata mpaka ukome, simba ambayo chama akipewa gozi, wanasimba wote wanapata raha duniani na utukufu mbinguni, simba ile miquisone{sakho} akipewa kandanda unatoa jicho kuona wangapi watafungashwa tela, ambayo ilimpiga vita club manne pamoja na kamati pendwa ile ya mapokezi
Naitamani morali ile ya wachezaji kushambulia muda wote kama ile vita club anakufa 2-1 kwa mkapa, hakika itapendeza na hawa waarabu watatuambia kama ni waafrika ama waamerika, mwanakulitaka...?
al ahly ni finalist 3years back to back, haya nambie hao kina rajab wako wanamaajabu gani kupelekea asipokee haki yake ya kipondo/kichapo/kipogo heavy? Uto bwana!Mkuu unaelewa Morocco ni namba 11 katika FIFA Men's Football Rankings sasa hivi?
Na Egypt ni 39.
Na Tanzania ni 130.
Ranking Template > Men's Ranking - EN
See latest status of the FIFA-Coca Cola Men's World Rankingwww.fifa.com
Nani uto?al ahly ni finalist 3years back to back, haya nambie hao kina rajab wako wanamaajabu gani kupelekea asipokee haki yake ya kipondo/kichapo/kipogo heavy? Uto bwana!
Raja Kachukua confederation 2021 na pia walitoa top scorer Ben Malango.al ahly ni finalist 3years back to back, haya nambie hao kina rajab wako wanamaajabu gani kupelekea asipokee haki yake ya kipondo/kichapo/kipogo heavy? Uto bwana!
Sio weweNani uto?
Unahakika benald malango bado yupo? Yote kwa yote kipigo kinawahusu, al ahly aligongwa ilihali katoka kucheza final ya club world cup dhidi ya bayern, atakua huyo rajab?Raja Kachukua confederation 2021 na pia walitoa top scorer Ben Malango.
Kabisa nafasi tatu forward hapati hata moja hii inatia mashaka sana.ntakua na imani na Phiri na Baleke hao sina mashaka nao.Nawaza tuu magoli wanayokosa kina boko na jinsi beki yetu inavyokatika
Kweni wachezaji waloifunga Al ahly ndo Hawa waliopo sasa?Unahakika benald malango bado yupo? Yote kwa yote kipigo kinawahusu, al ahly aligongwa ilihali katoka kucheza final ya club world cup dhidi ya bayern, atakua huyo rajab?
Mkuu fupisha maneno watakie mema Raja 🦅🦅 wawapige Hawa makolo watupunguzie noise pollution.Kabisa nafasi tatu forward hapati hata moja hii inatia mashaka sana.ntakua na imani na Phiri na Baleke hao sina mashaka nao.
alafu beki zetu zilivyo nyepesi nikiangalia washambuliaji wa Raja watata kila nafasi wanafunga,viungo kama Muzamir,Mkude sio wale wa zamani wameshajichokea.kichwa kinaniuma hasa kwenye walinzi wa Simba siwaamini kabisa.
Simba ana nafasi kubwa ya kushinda ila kwa sharti moja kubwa safu ya ulinzi iwe na umakina mkubwa makosa madogo madogo waarabu hawakuachi.Mkuu fupisha maneno watakie mema Raja 🦅🦅 wawapige Hawa makolo watupunguzie noise pollution.
Vipi kuhusu 0 ya uto na 6 za tp mazembe? Unataka hutaqSimba 1-5 Raja Casablanca. Kama hutaki jinyonge
Mchezaji yeyote atakepewa nafasi hiyo jumamosi ataingia kama mbogo alyejeruhiwa! Aaf vipi kuhusu timu yako, pia huna imani nayo siku ya j pili?Kweni wachezaji waloifunga Al ahly ndo Hawa waliopo sasa?
kwan umeshasahau kilichokuwa kinamkuta Al Ahly?
al ahly ni finalist 3years back to back, haya nambie hao kina rajab wako wanamaajabu gani kupelekea asipokee haki yake ya kipondo/kichapo/kipogo heavy? Uto bwana!