Hii ndiyo Simba itakayo muua Casablanca Jumamosi

Mkuu tusubiri kidogo tu dakika 90 ziishe halafu turudi hapa.

Kwa nini tunaandikia mate na wino upo?
 
Mkuu matokeo umeyapata?
 
Mkuu Simba mwenzangu hapa tunapenyaje?

Maana data zote zinaonesha tushauawa kabla hata mpira haujaanza.

Yani tukitoa draw nahesabu ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulichungulia game kabla haijachezwa nini mzee?
 
Aibu
 
Aibu tupu
 
Mchezaji yeyote atakepewa nafasi hiyo jumamosi ataingia kama mbogo alyejeruhiwa! Aaf vipi kuhusu timu yako, pia huna imani nayo siku ya j pili?
Unazani mpira ni mashindano ya vichambo kwamba ukiongea ngebe nyingi hapa ukienda uwanjani utashinda? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kwani yanasomekaje uko ?
kiongozi, matokeo yanasomekaje uko?
 
Mkuu Simba mwenzangu hapa tunapenyaje?

Maana data zote zinaonesha tushauawa kabla hata mpira haujaanza.

Yani tukitoa draw nahesabu ushindi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uliona mbali
 
Nakwambia mkuu kwa yale mambo yetu ya kiswahili yanayopelekea uwanja kulindwa na makomandoo, mwarabu j mosi atapata kilichompata al ahly mwaka juzi.
Dah! Mambo yenyewe ndiyo yale ya kurudisha basi kinyume nyume kwa umbali wote ule!! πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…