3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
hana pesaInaonekana licha na malengo ya kudhamini ligi,lengo kuu ilikuwa kutangazwa na ‘Simba’ zaidi kuliko timu nyingne. Nawapongeza,ukiona lengo halijatimia huna budi kukaa pembeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana pesaInaonekana licha na malengo ya kudhamini ligi,lengo kuu ilikuwa kutangazwa na ‘Simba’ zaidi kuliko timu nyingne. Nawapongeza,ukiona lengo halijatimia huna budi kukaa pembeni.
hana pesaUnadhani GSM anahasara maana Yanga pekee inatosha kumtangaza nchi nzima kama unabisha kunya kwenye Lami.
Mwambieni Mudi awe mdhamini sasa.Sasa kama mchakato ulikubaliwa na FCC, kwa nini ajitoe sasa? Aache longolongo, awape mpunga wao madogo watamtangazia brand yake humuhumu nchini
Unadhani GSM anahasara maana Yanga pekee inatosha kumtangaza nchi nzima kama unabisha kunya kwenye Lami.
yaani hiki kidem kitaua soka la bongo, wait and seeBarbara ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Simba ndiye ambaye alilishikilia bango suala hilo kwa niaba ya klabu na kuiandikia barua TFF, pia klabu yake haikushiriki katika kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.
jamaa wenu pesa ya magodoro imekata baada ya mondi kuyaloweka maji 😂😂😂😂😂yaani hiki kidem kitaua soka la bongo, wait and see
Kampuni ya GSM imetangaza kujiondoa katika udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hiyo siyo habari mpya kwa sasa, lakini kilichopo nyuma ya pazia na sababu kubwa ni wapinzani wao wa jadi Simba kugoma kuunga mkono juu ya udhamini huo.
Mara baada ya TFF kutangaza udhamini huo, kisha ikaelezwa kuwa klabu zote shiriki katika ligi hiyo kutakiwa kuvaa jezi zenye nembo ya GSM, Simba wao waliibuka na hoja kadhaa kisha wakagoma kutii maelekezo hayo ya TFF na Bodi ya Ligi.
Moja kati ya hoja za Simba ilikuwa ni kutoshirikishwa wakati wa kusainiwa kwa mkataba huo, GSM kuwa ni mdhamini wa Yanga wakati huohuo kuwa mdhamini mwenza wa Ligi Kuu na nyingine kadhaa.
Barbara ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Simba ndiye ambaye alilishikilia bango suala hilo kwa niaba ya klabu na kuiandikia barua TFF, pia klabu yake haikushiriki katika kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.
Licha ya kuwa GSM hawajasema wazi kuhusu masharti ya mkataba ambayo wanaona yamekiukwa katika makubalano yao lakini ni wazi kuwa Simba ndiyo sababu hasa ya wao kuamua kujiondoa.
Chanzo kutoka GSM kimeeleza kuwa kitendo cha Simba kugomea kuvaa jezi zenye ‘brand’ ya GSM kisha TFF na Bodi ya Ligi kushindwa kuwachukulia hatua, huku kesi ya udhamini wao ikipelekwa FCC ndiyo sababu ya kuamua kujiondoa.
Kesi hiyo ilifikishwa FCC kwa kuwa serikali iliamua kuingilia kuona kama mchakato wa fair competition ulikuwa katika njia sahihi.
Watajua wenyewe hivyo Timu baada kusikilizia wakubwa (Simba SC) wanasema wao wanakurupuka tu.Kumbe GSM hawajawahi kutoa hata 100 wakati club zilikuwa zinavaa nembo, huu ni udhamini hewa bora hata waondoke.
GSM ni matapeli wa mpira yanga wajiandae kisaikolojiaWatajua wenyewe hivyo Timu baada kusikilizia wakubwa (Simba SC) wanasema wao wanakurupuka tu.
Hawa ni matapeli toka kitambo kumbuka hawa ndo HSC..wana watu wa kupiga porojo kuwa wana hela..!GSM ni matapeli wa mpira yanga wajiandae kisaikolojia
Tuliwaambia haya yote lakini ni wachache walioelewa, tukapingwa tulitoa ufafanuzi...!Kanuni za ligi zinasema Club ni lazima ivae logo ya mdhamini mkuu kwenye bega la kushoto na sio ivae logo ya mdhamini mwenza.
Tff na GSM walishachemka, hakukuwa na kipengele cha utambuzi wa mdhamini mwenza.
Kibaya Zaid walimtarget Simba alafu ajabu wakamtuma manara awakejeri hao hao wanaowategemea kwenye dili lao.Inaonekana licha na malengo ya kudhamini ligi,lengo kuu ilikuwa kutangazwa na ‘Simba’ zaidi kuliko timu nyingne. Nawapongeza,ukiona lengo halijatimia huna budi kukaa pembeni.