Uchaguzi 2020 Hii ndiyo siri wabunge wa CCM kumsifu Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Hii ndiyo siri wabunge wa CCM kumsifu Rais Magufuli

Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Kazi nzuri alizozifanya Magufuli ndo zimepelekea baadhi yenu muanze kumlinganisha Magufuli na Yesu Kristo? Kauri ya Kangi Lugola, ninyi Wabunge wetu mumeamua kuiacha kwenye Hansadi!
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?

Ati PhD holder! Hayo yote uliyo yataja marais waliopita waliyafanya zaidi waliotoa ajira kwa vijana na waliongeza Mishahara kwa wafanyakazi.

Wewe mwenyewe isungekuwa kusifu na kuabudu huo uwaziri usinge upata tena.
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Ndo umfananishe na Yesu? R u serious?
Sifa gani hizo?
Mungu hadhihakiwi mtapata majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanamchukulia Mungu ktk wepesi na mawazo ya kibinadamu. Mungu ni mkuu sana (beyond imagination). Ukitizama anga utagundua dunia yenyewe si kitu. Anga linaogofya. Kuna mabilioni ya "Galaxy" na kila Galaxy ina mabilioni ya Sayari. Kadunia ni kama kapunje ka mchanga katikati ya bahari. Aliyefanya yote hayo ni Mungu mwenye enzi. Yeye hafananishwi wala halinganishwi.

Kumpa mtu sifa za Mungu ni kumfanya mtu huyo kuwa sanamu. Na kumtukuza mwanadamu ni kuabudu sanamu. Mungu anasema "Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu" (Isaya 42:8)
_
Kuamini kwamba bila mtu fulani hii nchi haiwezi kwenda ni kumpa mtu huyo sifa za Mungu. Mungu aweza kumnyanyua mtu yeyote kwa wakati wowote apendao. Kwahiyo usiseme bila fulani nchi haiwezi kwenda. Sema bila Mungu.

Anayempa mtu utukufu afanya kufuru. Anayejipa utukufu afanya kufuru. Na anayepewa utukufu akanyamaza afanya kufuru. Mungu hagawani utukufu na mwanadamu wala kiumbe chochote.

Mfalme Nebukadreza alipojenga mji wa Babeli alijisifu na kusema "Mji huu sio Babeli mkubwa nilioujenga mimi, uwe kao langu la kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu?" Baada ya kumaliza maneno hayo akatupwa porini na kula majani pamoja na ng'ombe (Daniel 4:29-37).
_
Kujipa utukufu ni dhambi. Na ukipewa utukufu usipoukataa ni dhambi pia. Herode alipewa utukufu na watu wa Tiro na Sidoni hakukemea akafa.

Watu wa Tiro na Sidoni walimfuata Herode. Akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme akatoka kuongea nao. (Kwa sababu ya njaa yao) wakapiga kelele za shangwe wakisema “Hii ni sauti ya Mungu.” Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu alijitwalia utukufu wa Mungu. Akaliwa na wadudu, akafa (Matendo 12:20-23).
_
Kwahiyo si Lugola tu anapaswa kutubu bali hata JPM pia kwa sababu alijitwalia utukufu wa Mungu (kwa kujua au bila kujua). Dr.Cyrilo anasema "Aliyemfanisha mwanadamu na Mungu ana matatizo, lakini aliyefanishwa na Mungu na akakaa kimya ana matatizo zaidi."
_
Pengine watu wameshajua anapenda sifa hivyo wapo tayari kumsifia vyovyote ili mradi wamfurahishe. Lakini wajue wanamchonganisha na Mungu. Na Mungu huwa hagawani utukufu na mwanadamu kamwe. Atajibu kwa moto.!
Well narrated [emoji120]
Sina cha kuongeza umemaliza mpendwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa mbunge nitajie majina mawili ya vituo vta afya vilivyojengwa kwenye Jimbo lako. Na unitajie majina mawili ya hospitali zenye hadhi ya wilaya zilizojengwa kwenye Jimbo lako. Pili tutajie bara bara ya lami inaitwaje iliyojengwa kwenye jimbo lako. Asante ni hayo tu Mbunge wangu na waziri.
Akikujibu, naomba unitagi.
 
Tusipoangalia safari hii mfalme wa wayahudi atabebwa mgongoni..
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.

Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?

Na Bado mnatuambia tozo ndio zimefanya hayo yote?

"...Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few..."
 
Kangi Lugola hata kwa kumwangalia tu unawaza kama si Mungu angekuwa wapi leo, maana pamoja na kuwa Mbunge mpaka Uwaziri, bado hana tofauti na mwanakijiji amabaye hakuwa kutoka Mwibara
HAa ha ha, yule ni sawa na ripoti ya profesa OSORO kuhusu madini, rubbish
 
Back
Top Bottom