TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwa zaidi ya miongo miwili iliyopita wanasayansi na wahandisi wa Israeli walibuni na sasa mfumo huo wa mihale (wave) wa kukatiza makombora ya balistiki.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Teknolojia ya vita, leo mfumo huo umefanikiwa kwa asilimia 100% kuyapereka makumi ya makombora ya balestiki eneo lingine nje ya target 🎯 iliyokusudiwa.
Hii inaweza kudhihirisha kuwa Israel ina mifumo mingi ya siraha za ulinzi na haitumiki yote ila wanatumia kulingana na tukio au vita wanayokumbana nayo.
Makombora hayo ya ballistic yaliyorushwa kwa wakati mmoja na nchi ya Iran.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Teknolojia ya vita, leo mfumo huo umefanikiwa kwa asilimia 100% kuyapereka makumi ya makombora ya balestiki eneo lingine nje ya target 🎯 iliyokusudiwa.
Hii inaweza kudhihirisha kuwa Israel ina mifumo mingi ya siraha za ulinzi na haitumiki yote ila wanatumia kulingana na tukio au vita wanayokumbana nayo.
Makombora hayo ya ballistic yaliyorushwa kwa wakati mmoja na nchi ya Iran.