Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received