Hii ndo imefanya hasiwe shortlisted for interview?

Hii ndo imefanya hasiwe shortlisted for interview?

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,155
Reaction score
1,209
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
 

Attachments

  • IMG_20241015_192343.jpg
    IMG_20241015_192343.jpg
    35.8 KB · Views: 8
  • IMG_20241015_192343.jpg
    IMG_20241015_192343.jpg
    35.8 KB · Views: 10
Wakuu Nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je Hilo ndo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Ukichukua heading uliyoiandika na kama kila kitu ulimuwekea wewe basi tatizo laweza kuwa limejulikana.
 
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Kwani sababu ya kutokuwa shortlisted ni nini?
 
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
sio wote walioitwa ataitwa tu subiri wanaita kwa awamu
 
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
asipoitwa ataandikiwa not shortlisted na sababu pia atapewa
 
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.

Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.

Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Endelea kuvuta subira utaitwa tu kwenye interview
 
Back
Top Bottom