Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Hakuna tajiri aliyeajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No cheti kilikuwa laminated,afu kikascaniwa colored lbd iyo colored ndo umetoa bad vissionMuhuri umekatwa kwenye cheti ukapachikwa hapo. Mmecrop muhuri sio?
Unaelewa maana ya received?Bado ameandikiwa received,,,ila Kuna mtu amesema muhuri ugongwe katikati ya cheti na sio pembeni kama hio picha juu
Huo Muhuri umegongwa kwenye cheti halisi au fotokopi..?Kugonga muhuri pembeni mwa cheti na sio ndani mwa cheti sio shida?
Majina yametoka upo au haupo tupe mrejeshoWakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
ORODHA YA MAJINA IKO WAPI ?Majina yametoka upo au haupo tupe mrejesho
Shortlisting ni zoezi la kupunguza waombaji ili kubaki na idadi waliyojiwekea ambayo watamudu kuifanyia usahili.Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Kuna uzi humu utafute umeweka link ya majinaORODHA YA MAJINA IKO WAPI ?
ShortlistedMajina yametoka upo au haupo tupe mrejesho
Soma sasa hakikisha unakuwa kumi bora kwenye matokeo usije sema umeonewaShortlisted
Walimu wanashida gani? au kwavile makundi mengine mnayaogopa kuyasema basi walimu ndiyo mnatolea stress zenu, msisahau hata nyie ni zao la walimu na ndiyo wamewafikisha hapo .Walimu mna shida jamani
Mm nawasihi tu, wasije kulalamika wametolewa maswali ya shule ya msingiSoma sasa hakikisha unakuwa kumi bora kwenye matokeo usije sema umeonewa
NimeyaonaKuna uzi humu utafute umeweka link ya majina
Ukute yeye mwenyewe ni mwalimu usitilie maanan mambo ya humu kuhusu walimu mkuu fanya yakoWalimu wanashida gani? au kwavile makundi mengine mnayaogopa kuyasema basi walimu ndiyo mnatolea stress zenu, msisahau hata nyie ni zao la walimu na ndiyo wamewafikisha hapo .
Hahahhah kwa walimu ni sawa tu hata wakitolewa vidudu ni jukumu laoMm nawasihi tu, wasije kulalamika wametolewa maswali ya shule ya msingi
Sawa mkuu maandalizi memaNimeyaona