Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Ali scan original ukiwa laminatedmbona ni kama umeunganisha picha mbili?
Ukichukua heading uliyoiandika na kama kila kitu ulimuwekea wewe basi tatizo laweza kuwa limejulikana.Wakuu Nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je Hilo ndo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Kwani sababu ya kutokuwa shortlisted ni nini?Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Bado ameandikiwa received,,,ila Kuna mtu amesema muhuri ugongwe katikati ya cheti na sio pembeni kama hio picha juuKwani sababu ya kutokuwa shortlisted ni nini?
sio wote walioitwa ataitwa tu subiri wanaita kwa awamuWakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Ali scan coloured laminated ndo maana Kuna rangi nyeupeHiyo picha inaujanja mwingi sana
Japo sio sababu ataitwa tu
asipoitwa ataandikiwa not shortlisted na sababu pia atapewaWakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Kugonga muhuri pembeni mwa cheti na sio ndani mwa cheti sio shida?sio wote walioitwa ataitwa tu subiri wanaita kwa awamu
REceived na qualifed au passed ni vitu vieli tofauti.Bado ameandikiwa received,,,ila Kuna mtu amesema muhuri ugongwe katikati ya cheti na sio pembeni kama hio picha juu
SAWA toa picha full kwa nn unaiweka upande unamaanisha nn?Ali scan coloured laminated ndo maana Kuna rangi nyeupe
Endelea kuvuta subira utaitwa tu kwenye interviewWakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado.
Nimeulizia nimeambiwa kwenye birth certificate lazima muhuri upigwe ndani ya cheti na sio pembeni ya cheti. Kama picha inavyoonesha.
Je, hilo ndiyo tatizo au ataitwa tu maana status Bado ni Received
Ukweli kada ya ualimu aisee Ina nyomi halafu ajira elf 12 watu walipo mtaani kwa sasa ni laki 3 kada ya ualimu kazi ipoWalimu mna shida jamani