Pia Mbeya ni kilimo kwa kwenda mbele karibia wilaya zote zinarutuba hali ambayo inapelekea wananchi wake kuwa na pato.Shughuli za kibiashara na kilimo zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana Mbeya katika miaka mitano iliyopita. Wafanyabiashara wameongezeka sana, hata lile gap lililoachwa na wafanyabiashara waliohamia hapa Dar hasa Kariakoo kukwepa kadhia ya TRA miaka iliyopita limezibwa kabisa. Mpaka wa Tunduma umerahisha sana ufanyaji biashara na Congo pia.
Iringa,Tabora, Rukwa, Simiyu, Geita,zanzibar,Lindi, Mtwara,Musoma,Dodoma, kigoma, singida hawa wote ni bure kabisa!! Ubaguzi umeanza, ebu jitahidini basi wenzetu! Lakini Tanga inaipitaje kilimanjaro? Wakati mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi kuliko kivutio chochote? Na Mbea inaipitaje Arusha maana vivutio vingi vya utalii na madini ya Tanzanite yako Arusha? Labda ni kutokana na boda na uingizaji wa bidhaa kwenda nje!
Iringa,Tabora, Rukwa, Simiyu, Geita,zanzibar,Lindi, Mtwara,Musoma,Dodoma, kigoma, singida hawa wote ni bure kabisa!! Ubaguzi umeanza, ebu jitahidini basi wenzetu! Lakini Tanga inaipitaje kilimanjaro? Wakati mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi kuliko kivutio chochote? Na Mbea inaipitaje Arusha maana vivutio vingi vya utalii na madini ya Tanzanite yako Arusha? Labda ni kutokana na boda na uingizaji wa bidhaa kwenda nje!
Mazeee, mbeya iko bize sana. Tatizo Arusha ina utalii mwingi ila promo hamna, hivyo tunaishia kusema maneno ya mdomoni kwamba arusha ina utalii na inatakiwa iingize pesa, Tunduma ndugu pako bize balaaaaa. Pesa inazunguka pale balaaa.
Mkuu huu utafiti BoT wamefanya wenyewe au wametumia REDET(Namaanisha lile shirika linalofanyaga utafiti uchaguzi ukikaribia)mbona kama data hazijatulia.
OCT042013
Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.
1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)
Why Mbeya beats Safari-city Arusha
A section of Arusha City. Arusha Region, which is Tanzanias tourism hub, is seventh in contributing to the national economy, according to the Bank of Tanzania. PHOTO | FILE
By Bernard Lugongo The Citizen Reporter
Posted Friday, October 4 2013 at 08:52
IN SUMMARY
A legislator criticised the Bank of Tanzania report saying it missed key indicators in reaching its conclusion
The recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion)
Dar es Salaam. A firm agro-based economy seems to have done Mbeya Region wonders as shown by the latest Bank of Tanzanias report on regional total net worth beating Arusha whose economy runs on mining and tourism.
The recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). But, with all tourist attractions, Arusha ranks number seven on the economic ladder of the country behind Mbeya, Shinyanga, Iringa and Morogoro regions. Lindi Region still lags behind as it holds second position among the poorest regions after Coast Region, even though it produces natural gas for power generation.
Stakeholders who spoke to The Citizenyesterday, said Mbeya Region was in control of income from both within and outside its market which is powered by its agricultural produce, thus enhancing money circulation in the region.
This is contrary to the Arusha situation, which sees a big part of its earnings from tourism and mining being taken outside its boundaries.
University of Dar es Salaam (UDSM) senior economics lecturer, Prof Amon Mbele, said Mbeyas agro-economy captures almost the entire countrys market. The tourism industry is largely dominated by foreign-based firms, so part of the income remains in their mother countries. The same logic works for large mining firms, said Prof Mbele.
He advised that the country should not abandon agriculture for gas, because it is still the former that would provide the basis for growth.
Mr Zitto Kabwe, Kigoma North MP (Chadema), who is also an economist, said Mbeya has the potential to overtake even Mwanza because of its emerging mining sector, which includes gold and coal mining at Lupa and Kiwira, respectively.
Lindi lags behind because of lack of economic activities, generally. Natural gas was an enclave sector and even if it started, still it would not benefit the local people, Mr Kabwe argued. It is shocking for Arusha to fall to seventh place. But Mbeyas agriculture has given it a firm ground on which to pin itself, he said. Above all, Arusha largely remains a service region, tanzanite comes from Manyara Region whereas almost all manufacturing factories were sold while no new ones have been established.
Legislator for Arumeru East, Mr Joshua Nassari (Chadema) and his Karatu counterpart, Rev Israel Natse (Chadema), blamed the situation on uncontrolled income flow to neighbouring Kenya for products produced in Arusha. There is no formal market for various products in Arusha, hence revenues go unrecorded; for instance, flowers are transported to Kenya where they are processed and branded as Kenyan products,Mr Nassari said.
Speaking on Mbeyas success, Special Seats MP from the region, Ms Naomi Kaihula (Chadema), said it was obvious for the region to have a big total income because its agriculture is commercialised, thus enabling the region to earn more. Agriculture has transformed incomes of many households in Mbeya Region, all because of commercialising farming, she asserted.
However, Lindi regional commissioner Thomas Sowani, said the region remained poor because its natural gas was being taken away to other regions.
The gas obtained here benefits industries based in other regions, he lamented.
source;citizen
Na hilo ndilo lengo la utafiti huu,ili kisemwe hicho unachokisema maana uchaguzi unakaribia.Hapo kwenye nyekundu, wakati wao wanafanya PEOPLEEEES POOOOWER, wenzao wanazalisha na kukuza uchumi. Nachangamsha baraza tu usinipige mawe
Huwa tunawaambia Mabilionea wa Arusha ni wajanja wajanja tu mtu akiwa na gorofa 2 basi anatukuuuzwa bilionea ukienda Kariakoo hapo unakuta mkinga ana gorofa 4 na hajulikani kama Bilionea na wala watu hawamtukuzi kila mtu na 50 zake.
nyinyi bot huu ni upuuzi tu hii inamsaidia nn mkulima wa kijiji anaetumia jembe la mkono kule kijijini acheni kupumbaza watu mnatuletea uchumi wa makalatasi
Na hilo ndilo lengo la utafiti huu,ili kisemwe hicho unachokisema maana uchaguzi unakaribia.
Kama BoT ni wanaume mbona wanatutengenezea mifedha haina viwango,noti ya mia tano shida,sarafu ya 50 na 100 balaa nao siku hizi wamejiunga na peoples power?