HII ndo Mikoa tajiri Tanzania (Kwa mujibu wa BOT), Mbeya yaishinda Arusha...

HII ndo Mikoa tajiri Tanzania (Kwa mujibu wa BOT), Mbeya yaishinda Arusha...

1.1310470102.banana-mobil.jpg
Shughuli za kibiashara na kilimo zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana Mbeya katika miaka mitano iliyopita. Wafanyabiashara wameongezeka sana, hata lile gap lililoachwa na wafanyabiashara waliohamia hapa Dar hasa Kariakoo kukwepa kadhia ya TRA miaka iliyopita limezibwa kabisa. Mpaka wa Tunduma umerahisha sana ufanyaji biashara na Congo pia.
Pia Mbeya ni kilimo kwa kwenda mbele karibia wilaya zote zinarutuba hali ambayo inapelekea wananchi wake kuwa na pato.
 
Iringa,Tabora, Rukwa, Simiyu, Geita,zanzibar,Lindi, Mtwara,Musoma,Dodoma, kigoma, singida hawa wote ni bure kabisa!! Ubaguzi umeanza, ebu jitahidini basi wenzetu! Lakini Tanga inaipitaje kilimanjaro? Wakati mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi kuliko kivutio chochote? Na Mbea inaipitaje Arusha maana vivutio vingi vya utalii na madini ya Tanzanite yako Arusha? Labda ni kutokana na boda na uingizaji wa bidhaa kwenda nje!

Hapo kwenye nyekundu, wakati wao wanafanya PEOPLEEEES POOOOWER, wenzao wanazalisha na kukuza uchumi. Nachangamsha baraza tu usinipige mawe
 
Inavyonishangaza mm nikuwa wakulima wako duni kimaisha wala hawapatiwi vitendea kazi kwa kilimo chao
wao wanaona tu kulipatia taifa pesa za kigeni sijui watafunguka liini macho hawa mabot kuwasaidia wakulima
kwa pembejeo za kisasa yaan kero tu hapa
 
Iringa,Tabora, Rukwa, Simiyu, Geita,zanzibar,Lindi, Mtwara,Musoma,Dodoma, kigoma, singida hawa wote ni bure kabisa!! Ubaguzi umeanza, ebu jitahidini basi wenzetu! Lakini Tanga inaipitaje kilimanjaro? Wakati mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi kuliko kivutio chochote? Na Mbea inaipitaje Arusha maana vivutio vingi vya utalii na madini ya Tanzanite yako Arusha? Labda ni kutokana na boda na uingizaji wa bidhaa kwenda nje!

Mazeee, mbeya iko bize sana. Tatizo Arusha ina utalii mwingi ila promo hamna, hivyo tunaishia kusema maneno ya mdomoni kwamba arusha ina utalii na inatakiwa iingize pesa, Tunduma ndugu pako bize balaaaaa. Pesa inazunguka pale balaaa.
 
Mazeee, mbeya iko bize sana. Tatizo Arusha ina utalii mwingi ila promo hamna, hivyo tunaishia kusema maneno ya mdomoni kwamba arusha ina utalii na inatakiwa iingize pesa, Tunduma ndugu pako bize balaaaaa. Pesa inazunguka pale balaaa.

Hata wale wachenji hela nao wanapiga pesa.
Nalog off
 

OCT042013




Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.

1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)



Why Mbeya beats Safari-city Arusha


dar.jpg


A section of Arusha City. Arusha Region, which is Tanzania’s tourism hub, is seventh in contributing to the national economy, according to the Bank of Tanzania. PHOTO | FILE

By Bernard Lugongo The Citizen Reporter

Posted Friday, October 4 2013 at 08:52

IN SUMMARY
A legislator criticised the Bank of Tanzania report saying it missed key indicators in reaching its conclusion
The recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion)

Dar es Salaam. A firm agro-based economy seems to have done Mbeya Region wonders as shown by the latest Bank of Tanzania’s report on regional total net worth beating Arusha whose economy runs on mining and tourism.

The recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). But, with all tourist attractions, Arusha ranks number seven on the economic ladder of the country behind Mbeya, Shinyanga, Iringa and Morogoro regions. Lindi Region still lags behind as it holds second position among the poorest regions after Coast Region, even though it produces natural gas for power generation.

Stakeholders who spoke to The Citizenyesterday, said Mbeya Region was in control of income from both within and outside its market which is powered by its agricultural produce, thus enhancing money circulation in the region.

This is contrary to the Arusha situation, which sees a big part of its earnings from tourism and mining being taken outside its boundaries.

University of Dar es Salaam (UDSM) senior economics lecturer, Prof Amon Mbele, said Mbeya’s agro-economy captures almost the entire country’s market. “The tourism industry is largely dominated by foreign-based firms, so part of the income remains in their mother countries. The same logic works for large mining firms,” said Prof Mbele.

He advised that the country should not abandon agriculture for gas, because it is still the former that would provide the basis for growth.

Mr Zitto Kabwe, Kigoma North MP (Chadema), who is also an economist, said Mbeya has the potential to overtake even Mwanza because of its emerging mining sector, which includes gold and coal mining at Lupa and Kiwira, respectively.

Lindi lags behind because of lack of economic activities, generally. Natural gas was an enclave sector and even if it started, still it would not benefit the local people, Mr Kabwe argued. “It is shocking for Arusha to fall to seventh place. But Mbeya’s agriculture has given it a firm ground on which to pin itself,” he said. Above all, Arusha largely remains a service region, tanzanite comes from Manyara Region whereas almost all manufacturing factories were sold while no new ones have been established.

Legislator for Arumeru East, Mr Joshua Nassari (Chadema) and his Karatu counterpart, Rev Israel Natse (Chadema), blamed the situation on uncontrolled income flow to neighbouring Kenya for products produced in Arusha. “There is no formal market for various products in Arusha, hence revenues go unrecorded; for instance, flowers are transported to Kenya where they are processed and branded as Kenyan products,”Mr Nassari said.

Speaking on Mbeya’s success, Special Seats MP from the region, Ms Naomi Kaihula (Chadema), said it was obvious for the region to have a big total income because its agriculture is commercialised, thus enabling the region to earn more. “Agriculture has transformed incomes of many households in Mbeya Region, all because of commercialising farming,” she asserted.

However, Lindi regional commissioner Thomas Sowani, said the region remained poor because its natural gas was being taken away to other regions.

“The gas obtained here benefits industries based in other regions,” he lamented.

source;citizen

Mkuu huu utafiti BoT wamefanya wenyewe au wametumia REDET(Namaanisha lile shirika linalofanyaga utafiti uchaguzi ukikaribia)mbona kama data hazijatulia.
 
Hapo kwenye nyekundu, wakati wao wanafanya PEOPLEEEES POOOOWER, wenzao wanazalisha na kukuza uchumi. Nachangamsha baraza tu usinipige mawe
Na hilo ndilo lengo la utafiti huu,ili kisemwe hicho unachokisema maana uchaguzi unakaribia.
Kama BoT ni wanaume mbona wanatutengenezea mifedha haina viwango,noti ya mia tano shida,sarafu ya 50 na 100 balaa nao siku hizi wamejiunga na peoples power?
 
Jamani tusipuuze /kupinga matokeo ya utafiti kwa sababu hayajaja kama vile tulivyotaka sisi...ilipotangazwa Rostam Aziz ni tajiri kuliko Bakhresa wapo waliopinga kwa sababu waliamini Bakhresa ni tajiri zaidi ya Rostam....Big up sana Mbeya kazeni buti
 
Huwa tunawaambia Mabilionea wa Arusha ni wajanja wajanja tu mtu akiwa na gorofa 2 basi anatukuuuzwa bilionea ukienda Kariakoo hapo unakuta mkinga ana gorofa 4 na hajulikani kama Bilionea na wala watu hawamtukuzi kila mtu na 50 zake.

arusha kelele mingi nakujirusha sana wakati mbeya mkinga anapesa yake na ametulia hata huwezi kumjua.
 
Kilimo kinaibeba sana Mbeya. Big up sana. Though Arusha mjini imejengeka sana kuliko Mbeya mjini ikiwa na hoteli nyingi, majengo mengi, taasisi nyingi mfano Eac,Selian,Mandela,Aicc,Iaa,Tumaini,jkuat,tawiri,n.k,pamoja na kumbi nyingi za starehe hvo kuufanya mji kua modern zaidi ya Mbeya in my opinion.
 
nyinyi bot huu ni upuuzi tu hii inamsaidia nn mkulima wa kijiji anaetumia jembe la mkono kule kijijini acheni kupumbaza watu mnatuletea uchumi wa makalatasi

= makaratasi

Ikiwa Kiswahili ni namna hii, sijui kama umeelewa kilichoandikwa kwa lugha ya kigeni!
 
Watu mnabishana na report y BOT come up with your own report sio blah blah.
Kwa kifupi Arusha kushika nafasi ile ni ishara kuwa Tanzania tunapigwa kwenye madini na utalii
 
Na hilo ndilo lengo la utafiti huu,ili kisemwe hicho unachokisema maana uchaguzi unakaribia.
Kama BoT ni wanaume mbona wanatutengenezea mifedha haina viwango,noti ya mia tano shida,sarafu ya 50 na 100 balaa nao siku hizi wamejiunga na peoples power?

Wakilitumia hili watakuwa wamebug kinoma maana Mbeya nako ni pipoz pawa but mambo ni mswano. Ccm ni wajinga lakini si kiasi hicho mkuu!
 
lakini wadau,mimi mbeya naijua in and out,the only problem ni wanasiasa na mamlaka kuzuia ujenzi kwa kisingizio cha bonde la UFA,lakini mbeya iko juu,kumbukeni agriculture sectos is more powerful in outcome than Mining sector and Tourism sector.na hata hivyo Hotel can be there but sales can not stand all the time in base of high and low seasonability.Kumbukeni Mbozi ni very strong in income,huwezi linganisha na wilaya nyingi za arusha,so take it or live it.
 
For that matter wamachinga tulikuwa tuko sawa kugoma gesi kusafirishwa kwenda dar! Inauma sana
 
Nimetamani kuibua hii topic. Watu walikuwa wanaitetea sana Arusha kwa kuzidiwa na Mbeya, ingawa Shinyanga, Iringa na Morogoro nazo zilikuwa juu yao lakini haikuwa ikiwasumbua. Wewe F unalalamika kwanini B awe wa pili, wakati kuna C, D, E juu yako. Si ungeanza kuuliza kwanini E yupo juu yako, then wapanda hatua kwa hatua. Mabilionea wa Arusha!!! Pesa ndogo, sifa mingi.
 
Back
Top Bottom