NICOLAX
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 250
- 138
hahhahahha ahhahhahaha ahahaahhha ahahahNimetamani kuibua hii topic. Watu walikuwa wanaitetea sana Arusha kwa kuzidiwa na Mbeya, ingawa Shinyanga, Iringa na Morogoro nazo zilikuwa juu yao lakini haikuwa ikiwasumbua. Wewe F unalalamika kwanini B awe wa pili, wakati kuna C, D, E juu yako. Si ungeanza kuuliza kwanini E yupo juu yako, then wapanda hatua kwa hatua. Mabilionea wa Arusha!!! Pesa ndogo, sifa mingi.
ahsante kwa mfano wako mkuu
