data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Yaan tz ukiumwa unaambiwa hiki ukienda kwa wenzetu wanagundua tatizo tofauti na hii si mara ya kwanza tatizo nini madaktari wetu
Wana assume.
Saivi wanaume wengi tukienda hospital tunaambiwa tuna UTI...inashangaza sana..ugonjwa huu si wetu kabisha.
Muda si mrefu tutaanza ambiwa tuna FISTULA.