MC RAS PAROKO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 623
- 606
Mkuu naona kama umewasahawa wana hip hop wa arusha au hawana vigezo?
Mkuu naona kama umewasahawa wana hip hop wa arusha au hawana vigezo?
Wataje wewe basi...
Kila mtu ana uhuru wa kutoa orodha yake
hii ndo top 5 ya wanahiphop itakayodumu milele bongo
toa mtazamo wako unaikubali list hii kwa asilimia ngapi? je nani hafai kuwepo?NOTE;
- fid. q
- mwana fa
- jay mo
- nikki wa pili
- stamina
"CHUKI BINAFSI HAZIHUSIKI"
Ni Buzz 277, 690
Piga namba hii popote uliza Solo,
Kama ni Kimeo usipige kwani Mgogoro,
Hata kama niko Dar, Nitajibu niko Moro.
Wananiita solo thang a.k.a not reachable
Hapo simu nshazima natafutwa na vinabo
Wakiiba hii moja tu mi nanunua double
Ilimradi tu hewani haina shobo
Soma thread vizuri ndugu sio kurupu kurupu tu!nikki mbishi
nikki wa pili
kala jeremih
joe makini
roma
nashee mc na wengine kibao toka arusha. Hao wakina prof j, sugu hao ni zamani
Simu imeharibika ni Dulla ama Mshauri,
Yahaya pale Azam yupi fundi hodari,
Kama nataka simu si bora ninunue dukani,
Ogopa pasua kichwa ogopa za mitaani,
Yaani hatua tatu tu network haisomi,
Hata ukirudi nyuma alouza humuoni,
Mkuu naona kama umewasahawa wana hip hop wa arusha au hawana vigezo?
Simu imeharibika ni Dulla ama Mshauri,
Yahaya pale Azam yupi fundi hodari,
Kama nataka simu si bora ninunue dukani,
Ogopa pasua kichwa ogopa za mitaani,
Yaani hatua tatu tu network haisomi,
Hata ukirudi nyuma alouza humuoni,
Soma thread vizuri ndugu sio kurupu kurupu tu!
1.chindo man
2.jcb
3.faza papaa
4.chabah
5.izzy e
6.donii
7.g.hustler
8.vatoloco
9.stopa
10.mabov
real hip hop sio commercial unaeza kuta kuna baadhi huwajui usijali hawa wanafanya hazakati za kwele sio wapaka poda mwana fatma
1.chindo man
2.jcb
3.faza papaa
4.chabah
5.izzy e
6.donii
7.g.hustler
8.vatoloco
9.stopa
10.mabov
real hip hop sio commercial unaeza kuta kuna baadhi huwajui usijali hawa wanafanya hazakati za kwele sio wapaka poda mwana fatma