Fakhi Jumaa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 239
- 47
Ningependa Dataz na Rah P wako wapi siku hizi!
Msichanganye Dogo Hamidu na Hashim dogo ni kama mbingu na ardhi.Muulize Mwana FA, muulize Jmoe, muulize Chindo Man , muulize Salu T, muulize Kala Pina,muulize Fid Q au Saigon wote wanakwambia Emcee mkali kuliko wote kwa Hip Hop ni Hashim dogo. najua vinyulinyuli wengi hawanisomi kabisa hapa
1.Chindo Man(UMBWA)
2.G nako
3. Lord Eyes
4.Roma
5.Mapacha
6.AY
7.Mangwea
8.JCB
9.Solo Thang
10.Kala Jeremiah[/QUOTE
we utakuwa mchaga tu,vp mashati hawajambo?
Maisha ya boarding noma
jmo nimesoma
na ndipo nlpopata neno ulimwengu ndo mama
primary ckupas
ckuwa na nyota njema
ikabidi nisome boardng
kuepuka na lawama
kama wewe form one shida kibao utapata
kuna kuibiwa,kuna adhabu maisha kama vita
siku za mwanzoni
ni siku za kufanya tathmini
niliogopa sana mambo ya kupga sim chooni....
Mtoto wa mama bora usome day bongo dar es salam
ilambo hakuna tution
ilambo hakuna fashen
kama unaenda town
mpaka utegee gari ya mishen
1.Chindo Man(UMBWA)
2.G nako
3. Lord Eyes
4.Roma
5.Mapacha
6.AY
7.Mangwea
8.JCB
9.Solo Thang
10.Kala Jeremiah[/QUOTE
we utakuwa mchaga tu,vp mashati hawajambo?
Hahaha mchaga wa Rombo au Machame?
6:Bony Mwaitege
Hahaha mchaga wa Rombo au Machame?
wa sanyachini au mashati,kwa mromboo
Oya mazee mmemsahau Juma Nature 'Kiroboto' teh
katuni hiphop
Hahaha mchaga wa Rombo au Machame?
Machame kuna watu wanajuwa maana ya Muziki...
1. Kamanda Mbowe
2. Reginald Mengi.
Huyo itakuwa Mpare jamani...
na AY je?
Machame kuna watu wanajuwa maana ya Muziki...
1. Kamanda Mbowe
2. Reginald Mengi.
Huyo itakuwa Mpare jamani...
mbona upareni pia yupo j4 gamba magembe na saidi mbaya aka piga ua
mpaka rais ananijua nenda kaulize wanawe/
wasipoongea na mshua mi ntaongea nae mwenyewe/
tuzo walinibania this year watanigea wenyewe/
baada ya lundo kunibania, ambazo nilistahili nipewe/
ukichunguza vzr jamaa anawafunika sana kwenye colabo ndo mana mtu akimshrksha trak 1 hatak tena cku nyngne
1.ukisikia paa remix(jcb alijuta kumshrkisha)
2.mchizi wangu rmx(humu alikmbz mbaya)
3.jirushe rmx(hii nymbo unaweza sema yake)
4.ingekuw vp(mwanafaty toka siku hyo hatak kumpa colabo jmo kisa nyimbo hii)
5.girlfriend(humu balaa)
6.wanashangaa(jcb alipotezwa vbaya na shairi zake za kuungaunga)
7.msela(humu wateule wamebebwa sana na Mo)
8.vilevile(tafuta hii trak ujione mwenyewe Mo alichofanya)
9.tathmini(prof j alipga saluti humu)
10.sihitaji(lord eyez alijuta kupga nae kolabo)
Alafu kuna nyimbo alipiga na salama jabr wamemwimbia mtoto wa mengi aliyefariki
11. kimbia fasta.( hii alifanya na kingoko,babu wa kitaa,mox na langa)