Ni kweli amekosea kuiita IFM Chuo, kwani IFM ni TAASISI na wala sio Chuo. Iko sawa tu na Taasisi ya Ustawi wa Jamii! Lakini pia, wewe umedhihirisha jinsi ulivyo mjinga zaidi ya mtoa mada, hivi Prof. Benno Ndulu na Manaibu wake wote walisoma IFM? BTW: Kama BoT ndipo unapasifia kuna wataalamu wa mambo ya benki, mbona EPA scandal ilitokea pale na hakuna mtaalamu wa IFM aliyegundua? Au utaalamu wao walikuwa wameuacha chooni au? Ukweli unauma, lakini rejects of reputable Universities and Low grade students ndio huwa wanakimbilia Taasisi kama CBE, IFM, TIA, Mzumbe, na sijui matakataka gani huko, n.k.! Sema tu kwakuwa waajiri wengi ni vilaza, huwa hawapendi kuajiri vichwa ndio maana makapi haya huwa yanapata nafasi nzuri za kazi kama Hazina, BoT, n.k. Ni kama tu Mulugo alivyoweza kuwa Boss wa Maprofesa wote ilhali yeye ni kilaza wa OUT! Sasa huo ni ujanja au ukanjanja? Pambaf!
Huwezi kufananisha Kondoo na Mbuzi hata kama wote ni wanyama wanaocheua; Umejiuliza maswali ya msingi kwamba vyuo hutofautiana kwa courses. Kwa mfano SUA ni cha kilimo utalinganishaje na UDSM, MUHAS ni cha afya unalinganishaje na IFM? Acha kulinganisha aliyevaa kaputura na mwingine suti yupi amependeza bila kuangalia mazingira gani? Hujui ukivaa suti shambani kila mtu atakushangaa hata kama utakuwa mahili kwa kulima.
kila mwanachuo ni boraHamna chuo bora kuna mwanafunzi bora, naona bado una spirity ya UKILAZA kwa kuvigawa vyuo katika makundi unayojua wewe bila kuweka wazi vigezo ulivyotumia kufanya hivyo, kwa kujifanya mjuaji
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata
kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI
kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE