Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

wewe ni mjinga kuita IFM NI CHUO CHA KATA, WATAALAMU WOTE WA KI BANK MUUNDO WA BOT CHANZO IFM! Hakil huna
Ni kweli amekosea kuiita IFM Chuo, kwani IFM ni TAASISI na wala sio Chuo. Iko sawa tu na Taasisi ya Ustawi wa Jamii! Lakini pia, wewe umedhihirisha jinsi ulivyo mjinga zaidi ya mtoa mada, hivi Prof. Benno Ndulu na Manaibu wake wote walisoma IFM? BTW: Kama BoT ndipo unapasifia kuna wataalamu wa mambo ya benki, mbona EPA scandal ilitokea pale na hakuna mtaalamu wa IFM aliyegundua? Au utaalamu wao walikuwa wameuacha chooni au? Ukweli unauma, lakini rejects of reputable Universities and Low grade students ndio huwa wanakimbilia Taasisi kama CBE, IFM, TIA, Mzumbe, na sijui matakataka gani huko, n.k.! Sema tu kwakuwa waajiri wengi ni vilaza, huwa hawapendi kuajiri vichwa ndio maana makapi haya huwa yanapata nafasi nzuri za kazi kama Hazina, BoT, n.k. Ni kama tu Mulugo alivyoweza kuwa Boss wa Maprofesa wote ilhali yeye ni kilaza wa OUT! Sasa huo ni ujanja au ukanjanja? Pambaf!
 
Ni kweli amekosea kuiita IFM Chuo, kwani IFM ni TAASISI na wala sio Chuo. Iko sawa tu na Taasisi ya Ustawi wa Jamii! Lakini pia, wewe umedhihirisha jinsi ulivyo mjinga zaidi ya mtoa mada, hivi Prof. Benno Ndulu na Manaibu wake wote walisoma IFM? BTW: Kama BoT ndipo unapasifia kuna wataalamu wa mambo ya benki, mbona EPA scandal ilitokea pale na hakuna mtaalamu wa IFM aliyegundua? Au utaalamu wao walikuwa wameuacha chooni au? Ukweli unauma, lakini rejects of reputable Universities and Low grade students ndio huwa wanakimbilia Taasisi kama CBE, IFM, TIA, Mzumbe, na sijui matakataka gani huko, n.k.! Sema tu kwakuwa waajiri wengi ni vilaza, huwa hawapendi kuajiri vichwa ndio maana makapi haya huwa yanapata nafasi nzuri za kazi kama Hazina, BoT, n.k. Ni kama tu Mulugo alivyoweza kuwa Boss wa Maprofesa wote ilhali yeye ni kilaza wa OUT! Sasa huo ni ujanja au ukanjanja? Pambaf!
teh teh teh,kweli inabidi ifm niiondoe kabisa coz ni taasisi wala sio chuo,teh teh teh
 
Vigezo ni degree quality ya hivyo vyuo kwa mfano mtu aliyesoma udom medicine huwezi kumfananisha na mtu aliyesoma muhimbili the same fucult
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

mdau ktk vyuo bora umekisahau chuo cha st.joseph
 
wewe ni ki..za uliochaguliwa kwenda chuo ama umri haujaruhusu yani mdogo au kwa kuhonga nyie ndo mnakujaga kua kama akina naibu waziri wa elimu zimbabwe pemba na tanganyika formed tanzania wahtaji maombezi bila hivo supp zakuhusu sana jipangeeee...

teh teh teh,msg sent
 
Bado sana kufikia maendeleo na kama waliosoma ndio hawa kweli hii elimu inatengeneza mataahira sio wasomi ,i guess mtu hata vyuo vyote vilivyoko nchini havijui anakurupuka tu sababu ya umbumbumbu wake ..
 
Ni kweli amekosea kuiita IFM Chuo, kwani IFM ni TAASISI na wala sio Chuo. Iko sawa tu na Taasisi ya Ustawi wa Jamii! Lakini pia, wewe umedhihirisha jinsi ulivyo mjinga zaidi ya mtoa mada, hivi Prof. Benno Ndulu na Manaibu wake wote walisoma IFM? BTW: Kama BoT ndipo unapasifia kuna wataalamu wa mambo ya benki, mbona EPA scandal ilitokea pale na hakuna mtaalamu wa IFM aliyegundua? Au utaalamu wao walikuwa wameuacha chooni au? Ukweli unauma, lakini rejects of reputable Universities and Low grade students ndio huwa wanakimbilia Taasisi kama CBE, IFM, TIA, Mzumbe, na sijui matakataka gani huko, n.k.! Sema tu kwakuwa waajiri wengi ni vilaza, huwa hawapendi kuajiri vichwa ndio maana makapi haya huwa yanapata nafasi nzuri za kazi kama Hazina, BoT, n.k. Ni kama tu Mulugo alivyoweza kuwa Boss wa Maprofesa wote ilhali yeye ni kilaza wa OUT! Sasa huo ni ujanja au ukanjanja? Pambaf!

nahisi kuna nati mja imekufyatuka na unaelekea kuwa kichaa,unajua IFM ilianzishwa kwa ajili ya kina nani? Eti makapi ndio hukimbilia huko,na inaonyesha ulisota sana kitaa wewe kupata kazi si nnaringaga na eti am from udsm tupa kule hamfai hata kidogo ua so called vilaza na ndio sababu hamtakiwi mnaringa bure tu na mtakaa sana mtaani kwikwikiwkwikiw
 
huu uzi umewachoma sana, na wengi wanaonekana wamesoma kwenye hivyo vyuo vya kata. teh teh teh,,, ila mwanzisha thread amesahau kuanza na chuo cha st. Joseph cha Mbezi katika vyuo vya kata.
 
Wengi humu jamvini wana chuki binafsi na hicho chuo cha IFM, nitafanya uchunguzi binafsi kwa hili ila ukweli ni kwamba wengi wamemegewa mademu zao mitaa ile sasa imekuwa chuki na chuo sio mtu binafsi kwikwikwikwikwi poleni sana
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

mkuuu umekisahau chuo kimoja ktk vyuo bora nacho ni st.joseph
 
nahisi kuna nati mja imekufyatuka na unaelekea kuwa kichaa,unajua IFM ilianzishwa kwa ajili ya kina nani? Eti makapi ndio hukimbilia huko,na inaonyesha ulisota sana kitaa wewe kupata kazi si nnaringaga na eti am from udsm tupa kule hamfai hata kidogo ua so called vilaza na ndio sababu hamtakiwi mnaringa bure tu na mtakaa sana mtaani kwikwikiwkwikiw
Another kilaza anayeonekana kipanga wa IFM! Hata sentensi unavyoandika utadhani Form II wa shule ya Kata! Anyway, it is not your mistake.....It is your academic background which you went through is what affects you!
 
Taasisi (institute) inao uwezo wa kutoa degrees zote from undergrad to phd. Hilo halina ibishi. Mfano: the best engineering school in the world is MIT
 
Nani kakupa jukumu la kugrade higher Institutions za Tanzania? Tuwekee vyeti vyako vya Havard /Yale tuvione.
 
Kweli kachemka ardhi kwa st augustine bado sana angalia hta kwny rank ya vyuo bora tz st augustne iko juu ya ardhi xo i think ukilaza unamsumbua

acha ushamba, ardhi ni practical oriented university. huwezi kulinganisha na st augustine cha vilaza waliopata div 3 &4 za HGH,HKL. Ardhi &muhimbili zilikuwa branch za udsm, hata entry requirements zake ziko tofauti na vyuo vingine. out put za ardhi & muhimbili huwezi kulinganisha na za st augustine. hapo tunapima interms of soko, je fresh graduate wa st augustine soko lake utalinganisha na fresh graduate wa st augustine? interms ya uwezo. for your info, graduates wa ARU hahitaji orintation/shortcourse baada ya kuajiriwa akiwa ametoka chuo. anaweza kutoka chuo na kuingia ofisini na kupiga mzigo bila vijikozi vya ziada.
 
Back
Top Bottom