Hii ndo Zaburi ya 35 aliyotwambia tusome Halima Mdee

Hii ndo Zaburi ya 35 aliyotwambia tusome Halima Mdee

Hii dhambi ambayo umeitenda kwenye jimbo lako umeshaitubu kwa wananchi wako?View attachment 1639057View attachment 1639062View attachment 1639063
Hizi zilikuwa fitina za viongozi wenu, walitaka walete taharuki kwenye uchaguzi walijua haeatashinda

Wakajitengenezea Kura bandia kukoleza Moto wa kile walichokuwa wamekilenga (mandamano nchi nzima kupinga matokeo hata kabla ya kupiga Kura)

Asante Mungu Kwa kuwaumbua hawa wasiokuwa na huruma na maisha ya Watanzania, na ombi la masikini na walemavu, wazee na watoto Kwa Mungu wa mbingu na nchi, ambao ndio wangeathirika na mpango wenu huo muovu, mpigwe na mpotee na Chama lenu lipotelee hukohuko kuzimu

Mungu ibariki Tanzania
 

ZABURI 35​

Kuomba msaada
(Zaburi ya Daudi)

1 Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;
uwashambulie hao wanaonishambulia.

2 Utwae ngao yako na kingio lako,
uinuke uje ukanisaidie!

3 Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.
Niambie mimi kwamba utaniokoa.

4 Waone haya na kuaibika,
hao wanaoyanyemelea maisha yangu!
Warudishwe nyuma kwa aibu,
hao wanaozua mabaya dhidi yangu.

5 Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
wakikimbizwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

6 Njia yao iwe ya giza na utelezi,
wakifukuzwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

7 Maana walinitegea mitego bila sababu;
walinichimbia shimo bila kisa chochote.

8 Maangamizi yawapate wao kwa ghafla,
wanaswe katika mtego wao wenyewe,
watumbukie humo na kuangamia!

9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu;
nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa.

10 Nitamwambia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote:
“Wewe ee Mwenyezi-Mungu, hakuna aliye kama wewe!
Wewe wawaokoa wanyonge makuchani mwa wenye nguvu,
maskini na fukara mikononi mwa wanyanganyi.

11 Mashahidi wakorofi wanajitokeza;
wananiuliza mambo nisiyoyajua.

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya;
nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa,
mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni;
nilijitesa kwa kujinyima chakula.
Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa,

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu.
Nilikwenda huko na huko kwa huzuni,
kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

15 Lakini mimi nilipoanguka walikusanyika kunisimanga.
Walikusanyika pamoja dhidi yangu.
Watu nisiowajua walinirarua bila kukoma,
wala hakuna aliyewazuia.

16 Watu ambao huwadhihaki vilema,
walinisagia meno yao kwa chuki.

17 Ee Mwenyezi-Mungu, utatazama tu mpaka lini?
Uniokoe kutoka kwenye mashambulio yao;
uyaokoe maisha yangu na simba hao.

18 Hapo nitakushukuru kati ya kusanyiko kubwa la watu;
nitakutukuza kati ya jumuiya kubwa ya watu.

19 Usiwaache maadui hao wabaya wanisimange,
hao wanichukiao bure wafurahie mateso yangu.

20 Maneno wasemayo si ya amani,
wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

21 Wananishtaki kwa sauti:
“Haya! Haya! Tumeona wenyewe uliyotenda!”

22 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu waona jambo hilo,
usinyamaze, ee Mwenyezi-Mungu,
usikae mbali nami.

23 Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukanitetee;
uje, ee Mungu wangu, uangalie kisa changu.

24 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, unitetee,
ufanye kulingana na uadilifu wako;
usiwaache maadui zangu wanisimange.

25 Usiwaache wajisemee: “Tumefanikiwa tulivyotaka!”
Au waseme: “Tumemmaliza huyu!”

26 Waache hao wanaofurahia maafa yangu,
washindwe wote na kufedheheka.
Hao wote wanaojiona wema kuliko mimi,
waone haya na kuaibika.

27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia,
wapaaze sauti kwa furaha waseme daima:
“Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno!
Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.”

28 Hapo nami nitatangaza uadilifu wako;
nitasema sifa zako mchana kutwa.
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Maneno ya mfa maji. Ya mtu mbinafsi na anayejihisi kuwa anaonewa.
 
Asante Halima kwa neno na hekima yako. Nimependa trik yako ccm wameingia king.
 
Hizi zilikuwa fitina za viongozi wenu, walitaka walete taharuki kwenye uchaguzi walijua haeatashinda

Wakajitengenezea Kura bandia kukoleza Moto wa kile walichokuwa wamekilenga (mandamano nchi nzima kupinga matokeo hata kabla ya kupiga Kura)

Asante Mungu Kwa kuwaumbua hawa wasiokuwa na huruma na maisha ya Watanzania, na ombi la masikini na walemavu, wazee na watoto Kwa Mungu wa mbingu na nchi, ambao ndio wangeathirika na mpango wenu huo muovu, mpigwe na mpotee na Chama lenu lipotelee hukohuko kuzimu

Mungu ibariki Tanzania
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
 

ZABURI 35​

Kuomba msaada
(Zaburi ya Daudi)

1 Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;
uwashambulie hao wanaonishambulia.

2 Utwae ngao yako na kingio lako,
uinuke uje ukanisaidie!

3 Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.
Niambie mimi kwamba utaniokoa.

4 Waone haya na kuaibika,
hao wanaoyanyemelea maisha yangu!
Warudishwe nyuma kwa aibu,
hao wanaozua mabaya dhidi yangu.

5 Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
wakikimbizwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

6 Njia yao iwe ya giza na utelezi,
wakifukuzwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

7 Maana walinitegea mitego bila sababu;
walinichimbia shimo bila kisa chochote.

8 Maangamizi yawapate wao kwa ghafla,
wanaswe katika mtego wao wenyewe,
watumbukie humo na kuangamia!

9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu;
nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa.

10 Nitamwambia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote:
“Wewe ee Mwenyezi-Mungu, hakuna aliye kama wewe!
Wewe wawaokoa wanyonge makuchani mwa wenye nguvu,
maskini na fukara mikononi mwa wanyanganyi.

11 Mashahidi wakorofi wanajitokeza;
wananiuliza mambo nisiyoyajua.

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya;
nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa,
mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni;
nilijitesa kwa kujinyima chakula.
Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa,

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu.
Nilikwenda huko na huko kwa huzuni,
kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

15 Lakini mimi nilipoanguka walikusanyika kunisimanga.
Walikusanyika pamoja dhidi yangu.
Watu nisiowajua walinirarua bila kukoma,
wala hakuna aliyewazuia.

16 Watu ambao huwadhihaki vilema,
walinisagia meno yao kwa chuki.

17 Ee Mwenyezi-Mungu, utatazama tu mpaka lini?
Uniokoe kutoka kwenye mashambulio yao;
uyaokoe maisha yangu na simba hao.

18 Hapo nitakushukuru kati ya kusanyiko kubwa la watu;
nitakutukuza kati ya jumuiya kubwa ya watu.

19 Usiwaache maadui hao wabaya wanisimange,
hao wanichukiao bure wafurahie mateso yangu.

20 Maneno wasemayo si ya amani,
wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

21 Wananishtaki kwa sauti:
“Haya! Haya! Tumeona wenyewe uliyotenda!”

22 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu waona jambo hilo,
usinyamaze, ee Mwenyezi-Mungu,
usikae mbali nami.

23 Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukanitetee;
uje, ee Mungu wangu, uangalie kisa changu.

24 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, unitetee,
ufanye kulingana na uadilifu wako;
usiwaache maadui zangu wanisimange.

25 Usiwaache wajisemee: “Tumefanikiwa tulivyotaka!”
Au waseme: “Tumemmaliza huyu!”

26 Waache hao wanaofurahia maafa yangu,
washindwe wote na kufedheheka.
Hao wote wanaojiona wema kuliko mimi,
waone haya na kuaibika.

27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia,
wapaaze sauti kwa furaha waseme daima:
“Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno!
Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.”

28 Hapo nami nitatangaza uadilifu wako;
nitasema sifa zako mchana kutwa.
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Mbona unaweweseka
 
Halima aache kutumia vitabu vya dini kuhalalisha ujinga wake

Mbona iko simpo omba radhi ufikiriwe achana na akina ndugai utatumika Kama bigijii
 

ZABURI 35​

Kuomba msaada
(Zaburi ya Daudi)

1 Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;
uwashambulie hao wanaonishambulia.

2 Utwae ngao yako na kingio lako,
uinuke uje ukanisaidie!

3 Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.
Niambie mimi kwamba utaniokoa.

4 Waone haya na kuaibika,
hao wanaoyanyemelea maisha yangu!
Warudishwe nyuma kwa aibu,
hao wanaozua mabaya dhidi yangu.

5 Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
wakikimbizwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

6 Njia yao iwe ya giza na utelezi,
wakifukuzwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

7 Maana walinitegea mitego bila sababu;
walinichimbia shimo bila kisa chochote.

8 Maangamizi yawapate wao kwa ghafla,
wanaswe katika mtego wao wenyewe,
watumbukie humo na kuangamia!

9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu;
nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa.

10 Nitamwambia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote:
“Wewe ee Mwenyezi-Mungu, hakuna aliye kama wewe!
Wewe wawaokoa wanyonge makuchani mwa wenye nguvu,
maskini na fukara mikononi mwa wanyanganyi.

11 Mashahidi wakorofi wanajitokeza;
wananiuliza mambo nisiyoyajua.

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya;
nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa,
mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni;
nilijitesa kwa kujinyima chakula.
Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa,

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu.
Nilikwenda huko na huko kwa huzuni,
kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

15 Lakini mimi nilipoanguka walikusanyika kunisimanga.
Walikusanyika pamoja dhidi yangu.
Watu nisiowajua walinirarua bila kukoma,
wala hakuna aliyewazuia.

16 Watu ambao huwadhihaki vilema,
walinisagia meno yao kwa chuki.

17 Ee Mwenyezi-Mungu, utatazama tu mpaka lini?
Uniokoe kutoka kwenye mashambulio yao;
uyaokoe maisha yangu na simba hao.

18 Hapo nitakushukuru kati ya kusanyiko kubwa la watu;
nitakutukuza kati ya jumuiya kubwa ya watu.

19 Usiwaache maadui hao wabaya wanisimange,
hao wanichukiao bure wafurahie mateso yangu.

20 Maneno wasemayo si ya amani,
wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

21 Wananishtaki kwa sauti:
“Haya! Haya! Tumeona wenyewe uliyotenda!”

22 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu waona jambo hilo,
usinyamaze, ee Mwenyezi-Mungu,
usikae mbali nami.

23 Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukanitetee;
uje, ee Mungu wangu, uangalie kisa changu.

24 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, unitetee,
ufanye kulingana na uadilifu wako;
usiwaache maadui zangu wanisimange.

25 Usiwaache wajisemee: “Tumefanikiwa tulivyotaka!”
Au waseme: “Tumemmaliza huyu!”

26 Waache hao wanaofurahia maafa yangu,
washindwe wote na kufedheheka.
Hao wote wanaojiona wema kuliko mimi,
waone haya na kuaibika.

27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia,
wapaaze sauti kwa furaha waseme daima:
“Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno!
Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.”

28 Hapo nami nitatangaza uadilifu wako;
nitasema sifa zako mchana kutwa.
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Mdee kumbe "ameokoka?"
Mdee amempa Yesu maisha yake!
Mdee si "mzee" kama alivyobatizwa!
Mdee si "msagaji " kama alivyosingiziwa!
Mdee anatambua Kuwa kafunzwa siasa na "Mbowe" na kwamba "milele daima" atakuwa mtiifu kwa Mbowe!
Mdee wa kuongea kwa unyenyekevu namna anavyomtambua Mbowe
Mdee hajaomba radhi waTanzania, maana juzi Ndugai akimnanga Mbowe basi angeonyedh masikitiko
 
Mdee anatakiwa kusema na kuweka Wazi namna mchakato mzima ulivyokuwa mpaka wao wakapendekezwa na Chama kuwa wabunge na nani alipeleka majina yao Tume full stop.
wakisema watakipasua chama, leo angesema mnyika ndio aliepeleka fomu tume si hali ya hewa ingechafuka
 

ZABURI 35​

Kuomba msaada
(Zaburi ya Daudi)

1 Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;
uwashambulie hao wanaonishambulia.

2 Utwae ngao yako na kingio lako,
uinuke uje ukanisaidie!

3 Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.
Niambie mimi kwamba utaniokoa.

4 Waone haya na kuaibika,
hao wanaoyanyemelea maisha yangu!
Warudishwe nyuma kwa aibu,
hao wanaozua mabaya dhidi yangu.

5 Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
wakikimbizwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

6 Njia yao iwe ya giza na utelezi,
wakifukuzwa na malaika wa Mwenyezi-Mungu!

7 Maana walinitegea mitego bila sababu;
walinichimbia shimo bila kisa chochote.

8 Maangamizi yawapate wao kwa ghafla,
wanaswe katika mtego wao wenyewe,
watumbukie humo na kuangamia!

9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu;
nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa.

10 Nitamwambia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote:
“Wewe ee Mwenyezi-Mungu, hakuna aliye kama wewe!
Wewe wawaokoa wanyonge makuchani mwa wenye nguvu,
maskini na fukara mikononi mwa wanyanganyi.

11 Mashahidi wakorofi wanajitokeza;
wananiuliza mambo nisiyoyajua.

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya;
nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa,
mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni;
nilijitesa kwa kujinyima chakula.
Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa,

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu.
Nilikwenda huko na huko kwa huzuni,
kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

15 Lakini mimi nilipoanguka walikusanyika kunisimanga.
Walikusanyika pamoja dhidi yangu.
Watu nisiowajua walinirarua bila kukoma,
wala hakuna aliyewazuia.

16 Watu ambao huwadhihaki vilema,
walinisagia meno yao kwa chuki.

17 Ee Mwenyezi-Mungu, utatazama tu mpaka lini?
Uniokoe kutoka kwenye mashambulio yao;
uyaokoe maisha yangu na simba hao.

18 Hapo nitakushukuru kati ya kusanyiko kubwa la watu;
nitakutukuza kati ya jumuiya kubwa ya watu.

19 Usiwaache maadui hao wabaya wanisimange,
hao wanichukiao bure wafurahie mateso yangu.

20 Maneno wasemayo si ya amani,
wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

21 Wananishtaki kwa sauti:
“Haya! Haya! Tumeona wenyewe uliyotenda!”

22 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu waona jambo hilo,
usinyamaze, ee Mwenyezi-Mungu,
usikae mbali nami.

23 Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukanitetee;
uje, ee Mungu wangu, uangalie kisa changu.

24 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, unitetee,
ufanye kulingana na uadilifu wako;
usiwaache maadui zangu wanisimange.

25 Usiwaache wajisemee: “Tumefanikiwa tulivyotaka!”
Au waseme: “Tumemmaliza huyu!”

26 Waache hao wanaofurahia maafa yangu,
washindwe wote na kufedheheka.
Hao wote wanaojiona wema kuliko mimi,
waone haya na kuaibika.

27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia,
wapaaze sauti kwa furaha waseme daima:
“Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno!
Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.”

28 Hapo nami nitatangaza uadilifu wako;
nitasema sifa zako mchana kutwa.
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Wenye mapenzi mema na CDM watasoma Zabuir 109
 
Pengine nawe ni miongoni mwao mkuu...
Hapana. Mimi nawasapport.Ninachowapinga ni wao kwenda bungeni bila idhini ta chama chao. Ingawa mimi nilipenda Chadema waende bungeni.
 
Mtu yeyote anaenda shule ili aje aishi maisha mazuri,kwakuwa Elimu ndiyo urithi wa kudumu

Pia hiyohiyo Elimu Ina namna na nyanja za kutumia,iwe uanaharakati,uanasiasa,udaktari n.k.

Lengo likiwa uishi maisha mazuri,Sasa mtu anapewa uwakilishi bungeni,sehemu ambayo unapaswa uwe na ushawishi kwa wananchi au uwe na kitu kichwani.

Piga kazi Halima,ziishi ndoto ulizoziota miaka mingi,huo ndio utafutaji wa maisha.

Povu ruksa,samahani Wana CDM siko chama chochote jamani

hapa nazungumzia namna ya kutumia elimu yako,uliyoipata kwa jasho
Kama elimu yako inakufanya uwe mlamba kalio,then endelea kupambania kombe.
 
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
Sawa ukisemacho, lakini hao Chadema walizikamata Kwa Nani hizo kura mkuu

Ni walimtaja Nani waliyemkuta nazo?
 
Yaani hizi siku 2 tu baada ya kuhamia huko kwa MATAGA tayari Halima ameshakua rafiki wa Gwajiboy?Maana hio mistari ya dini dizaini kama vile kapewa na Gwajiuno akaisome kwny Press.
 
sisi wanachama tuko tayari kwa lolote.

Hii press ya mdee imedhihirisha ni kweli wamenunuliwa na mataga ndiyo maana ameishia kuruka-ruka.
sawa, wanachama mko tayari kwa lolote, je, viongozi wenu wako tayari kwa lolote? hivi kweli Salim Mwalim alikuwa hajui mke wake Esther Matiko anaenda kuapishwa? kwenye lile kundi la akina mdee kuna wajumbe wa kamati kuu wana uhusiano wa karibu, usijidanganye walikuwa hawajui kinachoendelea......wakina halima watasamehewa na wataendelea na ubunge wao
 
Back
Top Bottom