Hii ndo Zaburi ya 35 aliyotwambia tusome Halima Mdee

Aisee, Halima anataka kumzidi kete askofu rashidi kwenye fani?
 
Haaa haaa just haaa haaa.. Kwisha habari yake.
Ale tu sasa pesa za kuunga juhudi, "Halima futilia mbali..!
 
Nimempongeza halima kwa kuutambua kwamba taasisi ndo mpango, kina ndugai waliwadanganya....
 
ENHEE ! SASA HAYA NDO MAOMBI YA ZABURI AMBAYO CHADEMA NA WAPINZANI WANAOONEWA NA SIRIKALI NA CHICHIEM WANATASIKIWA WAYASALI.NA MUNGU MTENDA HAKI ATASIKIA MAOMBI YAO.HUYO NDEE AJUE KABISA KWAMBA MUNGU SIO WA KUDHIHAKIWA.UJINGA NA TAMAA ZA NAFSI ZENU MFANYE NYIE,HALAFU MNAGEUKA KUMDHIHAKI MUNGU.HIYO DHAMBI ITABIDI MUITUBU HADHARANI,OTHERWISE,HII ZABURI 35 ITA-BACKFIRE KWENU(HALIMA NA KUNDI LAKO).
 
Shida tupu mkuu
But imeshindwa kumsaidia kuuwa upinzani.Kodi zetu zinazochezewa kupambana na upinzani si zingetumika hata kuboresha kilimo tungekuwa mbali Sana.
Maana zaidi ya kuukimbiza upepo hakuna mafanikio yeyeto waliyopata tangu waanze kupambana na upinzani.leo ushindi wa kishindo umegeuka shubiri kwao.Walishindwa kuelewa bila chadema bungeni beberu atoi pesa, wamekumbuka shuka.
 
Alivyoamua kwenda kuapa kwa shoga yake alikwenda baada ya kusoma Zaburi ipi?
 
Zaburi 35 ni sala, sala ya kuomba wabaya wako wapate adhabu kutokana na maovu waliokutendea, ni sala ya kukwepa saaana kuisali. Mkristu mzuri kawaida unaomba mbaya abadilike awe mzuri, mcha Mungu. Always avoid this prayer( Psalms 35!!!
Akumbuke kuwa Mume wa Bulaya nae anaisali sana hii zaburi🤣
 
Lengo siyo kuleta maendeleo ni CCM iwepo madarakani
 
Halima Mdee a.k.a Delilah wa Tanzania tangu lini amekuwa mkristo ? au ndio yaleyale ya askofu Rashid ? .
 
Ametumia mistari ya biblia kutusukumia laana sisi wajumbe hapa jf na viongozi wa chama chake tusiokubaliana michezo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…