Hii ndoa ya Azam Companies na TFF ni jjipu

Pole sana, suala hapa ni TFF na uvurugaji ratiba. Kwa heri
 
...kama Magufuli kazifungia akaunti za TFF mnategemea nini?!
 
Mh! Huu ushabiki sasa umezidi kikomo. Sasa ulitaka nani awe mdhamini. Na kuna sheria ipi imekiukwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…