Hii ngoma mpya ya Harmonize isiponyakua Grammy nitaamini uchawi upo

Hii ngoma mpya ya Harmonize isiponyakua Grammy nitaamini uchawi upo

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee.

Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba, vijana, wanafunzi nk, wote wakaachia siti zao wakaanza kuyarudi bila aibu.

Kulikuwa na abiria wanne wakigeni wakasema huko wanakotoka yaani Ulaya hawajawahi kusikia ngoma kali kama hii.

Dereva naye mara aachie usukani aanze kucheza, mara arukeruke kwenye kiti, mara atingishe kichwa, ilimradi balaa.

Oya wadau hii ngoma naona inaleta Grammy nyumbani kabisa. Wakina Burnaboy na Wizkid wajipange sana mwaka huu.
 
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee.
Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba, vijana, wanafunzi nk, wote wakaachia siti zao wakaanza kuyarudi bila aibu.

Kulikuwa na abiria wanne wakigeni wakasema huko wanakotoka yaani Ulaya hawajawahi kusikia ngoma kali kama hii.

Dereva naye mara aachie usukani aanze kucheza, mara arukeruke kwenye kiti, mara atingishe kichwa, ilimradi balaa.

Oya wadau hii ngoma naona inaleta Grammy nyumbani kabisa. Wakina Burnaboy na Wizkid wajipange sana mwaka huu.

Gramy?? Hiyo movie inaitwaje [emoji1]
 
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee.
Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba, vijana, wanafunzi nk, wote wakaachia siti zao wakaanza kuyarudi bila aibu.

Kulikuwa na abiria wanne wakigeni wakasema huko wanakotoka yaani Ulaya hawajawahi kusikia ngoma kali kama hii.

Dereva naye mara aachie usukani aanze kucheza, mara arukeruke kwenye kiti, mara atingishe kichwa, ilimradi balaa.

Oya wadau hii ngoma naona inaleta Grammy nyumbani kabisa. Wakina Burnaboy na Wizkid wajipange sana mwaka huu.
Si useme tu wewe ndio Hamonaizi tukupe sapoti
 
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee.
Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba, vijana, wanafunzi nk, wote wakaachia siti zao wakaanza kuyarudi bila aibu.

Kulikuwa na abiria wanne wakigeni wakasema huko wanakotoka yaani Ulaya hawajawahi kusikia ngoma kali kama hii.

Dereva naye mara aachie usukani aanze kucheza, mara arukeruke kwenye kiti, mara atingishe kichwa, ilimradi balaa.

Oya wadau hii ngoma naona inaleta Grammy nyumbani kabisa. Wakina Burnaboy na Wizkid wajipange sana mwaka huu.
mshamba_hachekwi hebu Soma hii quote ucheke🤣😂😂🤒😁
 
Asubuhi wakati naingia harakati nipo ndani ya daladala mara ghafla hili goma likapigwa redioni, ebwanaeee.
Kila aboria aliyekuwemo kwenye gari akaamuka kuanza kucheza, wakina mama, wakina baba, vijana, wanafunzi nk, wote wakaachia siti zao wakaanza kuyarudi bila aibu.

Kulikuwa na abiria wanne wakigeni wakasema huko wanakotoka yaani Ulaya hawajawahi kusikia ngoma kali kama hii.

Dereva naye mara aachie usukani aanze kucheza, mara arukeruke kwenye kiti, mara atingishe kichwa, ilimradi balaa.

Oya wadau hii ngoma naona inaleta Grammy nyumbani kabisa. Wakina Burnaboy na Wizkid wajipange sana mwaka huu.
Unaonekana kwenye maisha ya kawaida wewe ni mtu mpweke sana.
 
Back
Top Bottom