ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwenye World Cup ya wanawake mwaka jana kulikuwa na marefarii kutoka Rwanda na Kenya siyo Tanzania.Kingekuwa kituko Kama wangechaguliwa Ila Kama hawajachaguliwa ni sahihi.
Unasemea Tatu malogo aliyewapa Simba point za bure kwa sasa wangekuwa nafasi ya 4 kwenye ligiBora kwa sababu waamuzi wa kitanzania ni wabovu na watachezesha mpira kishabiki,kuna kipindi Simba sc na yanga wakicheza final ya ngao ya jamii..kuna yule mama aliibeba yanga mpaka aibu..ndio maana yanga pamoja na kuchikua ubingwa ligi kuu...kipindi fulani lakini kimataifa ni wabovu sana...waamuzi makanjanja utuletea timu kanja nja ligi kuu
Lugha hapana, refa sio lazima ajue lugha kuu mama za duniaNa lugha tatizo
Bora kwa sababu waamuzi wa kitanzania ni wabovu na watachezesha mpira kishabiki,kuna kipindi Simba sc na yanga wakicheza final ya ngao ya jamii..kuna yule mama aliibeba yanga mpaka aibu..ndio maana yanga pamoja na kuchikua ubingwa ligi kuu...kipindi fulani lakini kimataifa ni wabovu sana...waamuzi makanjanja utuletea timu kanja nja ligi kuu
Kabla ya GSM kuja yanga walikuwa wanachaguliwa kuchezesha hayo mashindano?Fedha chafu za GSM zimewafanya marefa wa Tanzania kuuza utu wao, matokeo yake ndiyo haya
Eti anamuiga Corina.Waamuzi wetu ndio hawaView attachment 2859252
Usijaribu tena kufananisha waamuzi wa CUF na FIFA,kwa kufananisha na hizi takataka zinazochezesha NBC..hizi ni uchafu ndio maana wameachwa na SECAFAKwahiyo simba hajawahi kubebwa na akachukua ubingwa na kimataifa akafanya vizuri?