Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Wanajua sisi ni maiti so they don't care,hata tukifa Kama kuku hakuna tutachofanya,wewe huoni humu jamvini nyuzi zinavyopishana watu wakisifu strategy ya tufunge na kuomba za bwana Magufuli? Nchi hii ni nzuri Ila haina raia bali Ina watu wengi sana but raia wachache so one cares
Come again please i.e tufafanulie zaidi inamaanisha nini?