Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

Kwani vimeshafika maana huku mambo magumu kwelikwelj
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kma tumeweza nunua ndege kwa cash tunashindwaje kununua mashine za kupima wagonjwa? Kma tuliweza nunua ndege maana yake tunapesa nyingi na hata ivyo kuna budget ya pesa ya majanga. Ipo wapi? Inaganya nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
utaambiwa ni muujumi uchumi kwa hayo maswali yako ambayo hawawezi kuyajibu kabisa
 
Kwa maoni yako upo sahihi - maana kama michango ya CHADEMA na mikopo waliyo kopa kuwatoa wafungwa wakina Mbowe gerezani ingeelekezwa kununua mashine za kupima CORONA, tungekuwa na 12!
Wakina Mbowe warudishwe gerezani, tununue hivyo vifaa - maana za Mashinji na Msigwa hazitoshi. Tunashindwa nini? CORONA haina chama.
Ukikubaliana na hili nitajua unajitambua na kweli maoni yako si kejeli.

..fedha za kumtoa Mbowe na wenzake ziko serikalini.

..sasa labda ungeihoji SERIKALI kwanini isizitumie kununulia vifaa vya kujikinga na kupima ugonjwa wa corona.

..Pia kuna mabilioni yaliyokusanywa kutoka kwa mafisadi kupitia utaratibu wa plea-bargain. Fedha hizo kwanini hazitumiki kupambana na Corona.

..SERIKALI kubweteka na kusubiri misaada toka kwa wahisani wa nje.
 
Kwani ulisikia Tuliomba Msaada au yeye kaleta msaada baada ya kuona tumepatwa na hili janga? Kuna watu wanatia shaka saana kuwaelewa kuwa huwa wanatumia nini kufikiria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekua hutaki ungeacha wapewe wengine wasio dona kantri. Kama umepokea maana yake ulikua unahitaji sema ulikua unaona aibu kusema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hata Marekani na nchi kibao zimepokea huu msaada, basi hii ni aibu ya dunia sio Tanzania tu.
Jack Ma
@JackMa

·
2h

Knowledge is power! We launched an online platform for doctors and nurses around the world to exchange ideas, lessons and know-how to fight the virus. We welcome all hospitals to join Chinese hospitals on this open platform

https://covid-19.alibabacloud.com. One world, one fight!
Huyu mleta mada hajielewi.
 
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi uwe na akili za kikubwa, Ethiopia walioupokea huo msaada unajua wanazo ndege ngapi?.

Hakuna binadamu mwenye ukamilifu sembuse wakati huu ambapo dunia imekumbana na janga. Kumbuka hili ni janga, huwa hakuna mtu anayemuomba Mungu ili liweze kutokea.
 
Umesema mashine ya kupima corona inauzwa $1300 na Tz iko moja ila ndege tunazo 9@$10ml
 
Amedonate 500,000 test kits, na 1million masks kwa USA. Je wajua kabla ya hapo serikal ya USA ilikuwa imesambaza hizi kits ngapi na maski ngapi?

Je serikal ya Tz mpaka inapokea msaada ilikuwa imefanya juhudi gani interms ya kusambaza test kits na masks?



Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja bora ungekaa kimya tu.
 
Pia kuna mabilioni yaliyokusanywa kutoka kwa mafisadi kupitia utaratibu wa plea-bargain. Fedha hizo kwanini hazitumiki kupambana na Corona.
Hiyo plea bargain yao ni kaa la moto itakuja kuwafunga wote walio cheza mchezo huu mchafu mbele ya sheria na haki za mtu aliyepo mahabusu kumnyanganya haki yake wakumbuke nini baada ya Azimio la Arusha na nini baada uhujumu uchumi ya Sokoine.Mambo mengine watawala kuweni makini mnaenda kutupa hali ngumu walala hoi kulipa mlio wadhulumu
 
Kwa staili hii upinzani ukiingia tutaona vituko vingi kuliko hata hivi vituko vya jiwe.
Kwa hiyo mtoa mada ulitaka serikali isinunue ndege isuburi Corona au ulitaka wakatae msaada?
 
Kwa staili hii upinzani ukiingia tutaona vituko vingi kuliko hata hivi vituko vya jiwe.
Kwa hiyo mtoa mada ulitaka serikali isinunue ndege isuburi Corona au ulitaka wakatae msaada?
Kma unaakili ndogo huwezi elewa. Ni sawa ununue gar lakini ushindwe peleka familia yako hospital wanapougua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni mpuuzi kwa sababu hoja zako zinasukumwa na chuki isiyo na msingi.

Ifike mahali tukubali kuwa Rais Magufuli ni kiongozi makini ambaye ameweza kusimamia vizuri utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya chama chake cha siasa, CCM. Hili ni tofauti na viongozi wa vyama vya upinzani, km CHADEMA ambao wanatumia pesa ya RUZUKU kula bata huku Makao Makuu hayana ofisi.

Toeni boriti kwenye macho yenu ndio mweze kutoa kibanzi kwenye Serikali iliyoko madarakani.
 
Tatizo mnatumia kalio kufikiria. Swali apo ni kuwa tumeshindwa hata kununua mashine 1 ya vipimo tunasubir msaada na msada wenyewe ni vitest kits na masks bac.

Swali ni je serikal imefanya juhud gani kupambana na korona?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni upumbavu na ulofa kuuliza swali hilo wakati wewe mwenyewe, familia yako, majirani, na wafanyakazi wenzio mko salama hadi sasa iwapo tu kama kila mmoja wenu anatekeleza wajibu wake kufuata maelekezo ya kitaaluma.
 
Ni upumbavu na ulofa kuuliza swali hilo wakati wewe mwenyewe, familia yako, majirani, na wafanyakazi wenzio mko salama hadi sasa iwapo tu kama kila mmoja wenu anatekeleza wajibu wake kufuata maelekezo ya kitaaluma.
Umejuaje kama hata wewe upo salma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom