Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Kwan corona ipo Dar pekee?Mzee ametukimbia DAR alafu anajiita mzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan corona ipo Dar pekee?Mzee ametukimbia DAR alafu anajiita mzalendo
Angalau hayo ni mawazo yako.Hewezi kuwa na jibu coz nothing is done.tumekaa kwenye jiwe tunasubir msaada wa jack ma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja.Nyumbu kazi yake kulialia kwa wananchi tu achangiwe faini ya kulipa Magereza ili asifungwe,wakati wanasiasa mahiri hukubali kutumikia kifungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini rudi hapo kwenye kipimo,vipo vingapi? Kimoja kwa watu 50,000,000! Gaweni hata kwa nne hiyo hesabu, aibu!Amedonate 500,000 test kits, na 1million masks kwa USA. Je wajua kabla ya hapo serikal ya USA ilikuwa imesambaza hizi kits ngapi na maski ngapi?
Je serikal ya Tz mpaka inapokea msaada ilikuwa imefanya juhudi gani interms ya kusambaza test kits na masks?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.
Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.
Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.
Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.
Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?
Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo serikali ilikutangazia mekosa uwezo wa kuhudumia waathirika?Wewe ndyo hukuelewa mada usika. Umesoma kichwa cha habari umekimbilia kicoment.
Kinachoulizwa apo ni kuwa yamepokea msaada sasa kabla ya msaada wewe umefanya juhud gani. Nchi kma Tz ilitakiwa iwe imeingiza vifa kma ivyo mara 100 yake kabla hata ya uo msaada kuguka. Yani tumekaa tukabweteka et tunasubil msasda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo serikali ilikutangazia mekosa uwezo wa kuhudumia waathirika?Wewe ndyo hukuelewa mada usika. Umesoma kichwa cha habari umekimbilia kicoment.
Kinachoulizwa apo ni kuwa yamepokea msaada sasa kabla ya msaada wewe umefanya juhud gani. Nchi kma Tz ilitakiwa iwe imeingiza vifa kma ivyo mara 100 yake kabla hata ya uo msaada kuguka. Yani tumekaa tukabweteka et tunasubil msasda.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Tusitishane kaugonjwa ka korona ni kadogo sana... Pigeni kazi watanzania msihofu.
View attachment 1399645
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mkuu inawezekana umesoma kichwa cha habari ukakimbilia kujibu hoja.heradius12
Mkuu mawazo yako si mabaya ila hayana mashiko.
Msaada kila nchi imepewa,hata marekani.
Ukisoma sana kuna sera ilianzishwa na central bank,kuhusu hawa matajiri wana hodhi fedha nyingi.
Kwa wachumi wenzangu tunafahm kitu hiki.
Lakini pia ni sera mmoja wapo ya uchina kusambaza ideology yake kwa mataifa mengine.
Imagine donation imetolewa kwa takriban nchi zote za africa.
Si kulalamikia mkuu juu ya tz.
Tanzania ni nchi mmoja wapo maskin kiakili kama zingine africa.
Maskin kiakil kwasababu,hatuna akili yakuzitumia resources zilizopo kutupa utajiri..
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.
Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.
Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.
Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.
Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?
Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subili yakukute ndyo hili jibu utalipata.Kwa hiyo serikali ilikutangazia mekosa uwezo wa kuhudumia waathirika?
Una nchi kama ufaransa nayo haikuwa na maandalizi,madaktar wanajinunulia vifaa na wengine wanatumia vifaa vya zaman.Tatizo mkuu inawezekana umesoma kichwa cha habari ukakimbilia kujibu hoja.
Tatizo hapa sio kupokea msaada. Msaada wenyewe ni test kits kma 20,000 mavazi 1,000 na maski 100,000.
Aibu ni kuwa hata kabla ya hapo nchi imeshindwa kujinunulia vitu kma ivyo imekaa ikisubiri msaada. Na vifaa sio kuwa vinatosheleza!
Nikatoa mfano wa marekani, wamepokea msaada ila je wajua ni vifaa kiasi gani vilkuwa vimeshasambazwa na serikal yao?
Kupokea msaada sio tatizo. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnaleta uchama kwenye mambo ya kitaifa. Corona haina chama. Sasa endeleeni kujitoa tu akili. Siku ikifika mlangoni tunaomba ulete marejesho.Kajengeni kwanza ofisi ya chama makao makuu ndiyo muanze kuhoji Ndege,ama na sisi tuanze kuhoji zuruku ya chama inaenda wp?ukigusa hapo utasikia "account zetu zote zimefungwa"hivi ninyi watu mmnadhani kila mtu nimjinga,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipotoshe.Napingana na wewe mkuu,
K
Una nchi kama ufaransa nayo haikuwa na maandalizi,madaktar wanajinunulia vifaa na wengine wanatumia vifaa vya zaman.
Hili janga limekuja lakin ufaham kila nchi haikuwa na maandalizi,hata marekani wenywe hawakuwa wamejiandaa.walijiandaa tu kwenda kuchukua raia wao china lakin hawakuweka mikakat thabit kama ugonjwa ukisambaa kwao itakuaje...
Hatuko mahala pabaya ila tuombe uzima na mungu atuepushe..
Corona unaweza ukajiandaa kwa kila kitu lakin mwisho wa siku ikakupiga za uso..
Ni ugonjwa mbaya..sisi africa tunaishi kwa neeema tu hadi sasa.
Soma mada uelewe sio kichwa cha habari then unakimbilia kutafta nafasi ya comment.Kwani ulisikia Tuliomba Msaada au yeye kaleta msaada baada ya kuona tumepatwa na hili janga? Kuna watu wanatia shaka saana kuwaelewa kuwa huwa wanatumia nini kufikiria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maoni yako upo sahihi - maana kama michango ya CHADEMA na mikopo waliyo kopa kuwatoa wafungwa wakina Mbowe gerezani ingeelekezwa kununua mashine za kupima CORONA, tungekuwa na 12!Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.
Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.
Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.
Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.
Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.
Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?
Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.
Sent using Jamii Forums mobile app