Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma


Come again please i.e tufafanulie zaidi inamaanisha nini?
 
Jamani muwe mnasoma na kuelewa,jamaa hapingi wa kukataa Tanzania kupewa msaada Ila anachoshangaa ni kwamba sisi Dona country tumefanya nini na mapesa yetu? Timenunua vipimo vingapi na vifaa vya kujikinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…