Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Au mchomoko wahuni wana majina mengi ya hizo buti...Kumbe😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mchomoko wahuni wana majina mengi ya hizo buti...Kumbe😃
We jamaa 🤣🤣🤣Vinaitwa Njunju...
Pasi ndefu mkuu asubuhi inakutana na jioni, Inasaidia kubana bajeti nakuokoa muda.sasa hiyo ni breakfast au lunch? kwani jana usiku haukula?
Kwanini mkuu,tupeane elimu tafadhariMaharage ni chakula muhimu sana asubuhi.
Which is which... tukusikilize wewe au tumsikilize Janabi[emoji849][emoji849]Ni ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.
Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.
Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.
View attachment 2957294
Daah aisee 😀Bila shaka wewe ni mtumishi wa serikali.
Hicho kiatu sasa!! 😂😂😂😂😂Mbona mazingira machafu?tafuta hela mzee