Hii ni Breakfast ya 1500. Akili mtu wangu!

Hii ni Breakfast ya 1500. Akili mtu wangu!

Unaposikia njaa muda wowote unakula unacho stahili acha kutuletea ujuaji wako wa hivyo hovyo 😁😁😁😁
 
Mkuu unakula maharage asubuh tena mengi kiasi hicho, ushauri wangu hapo ondoa hiyo juis na hilo ndondo badala yake weka chai tangawizi na mchaichai yenye sukari kidogo sana. Halafu hayo mandondo yatafune mchana kwa dona na kipande cha parachichi.
 
Broo maharage ni maramu hasa ikiwa za kijani zile
 
Ni ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.

Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.

Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.

View attachment 2957294
Which is which... tukusikilize wewe au tumsikilize Janabi[emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom